Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Just thinking aloud! It all begins last week when the Tanzanian Queen in BBA, Ms. Bhoke was kicked out of the BBA! Lotus did the same, Simba did the same and the list is endless!
What is wrong with us? What is our comparative advantage? Ni nini tunachoweza kufanya vizuri? Siasa and Kisiwa cha amani (Arusha and Musoma wamebadilisha hii assumption)! Jamani what is wrong with us?
Sometimes I want to believe What Mtikila said, we Tanzanians need mental emanticipation!
Tuanzie wapi? Tumekosea wapi? Hata DRC wenye vita miaka kibao wanaweza kuwa na football team nzuri zaidi yenu?
Wakenya hadi wanasema Babu wa Samunge yuko kwao, Kilimanjaro kwao, Mh Maige umelala tu? What is wrong with us?
Miaka kibao tuna mgao wa umeme! Bado ahadi za kumaliza haziishi?
wazee/wastaafu wa EAC wanajifia.... no bady caresss
International watz tunajulikana kwa uzembe wakati wa kupitisha mijadala ya maana conference na umakini wa kwenda Shopping! Tunawasindikiza wenzetu, sisi shopping na ten %. This is our comparative advantege!
Jamani, hii culture a kusindikiza na kufanya things as usual inatupeleka pabaya! Hakuna wa kukemea lolote!
It is time sasa tuamke. Kila siku visingizio kibao!
Sisi kama Taifa tuna msimamo gani?
Tutakuwa wasindikizaji hadi lini? Tusipoangalia, hata watoto wetu watacopy na kufanya hayo kuwa maisha yetu,
What is wrong with us? What is our comparative advantage? Ni nini tunachoweza kufanya vizuri? Siasa and Kisiwa cha amani (Arusha and Musoma wamebadilisha hii assumption)! Jamani what is wrong with us?
Sometimes I want to believe What Mtikila said, we Tanzanians need mental emanticipation!
Tuanzie wapi? Tumekosea wapi? Hata DRC wenye vita miaka kibao wanaweza kuwa na football team nzuri zaidi yenu?
Wakenya hadi wanasema Babu wa Samunge yuko kwao, Kilimanjaro kwao, Mh Maige umelala tu? What is wrong with us?
Miaka kibao tuna mgao wa umeme! Bado ahadi za kumaliza haziishi?
wazee/wastaafu wa EAC wanajifia.... no bady caresss
International watz tunajulikana kwa uzembe wakati wa kupitisha mijadala ya maana conference na umakini wa kwenda Shopping! Tunawasindikiza wenzetu, sisi shopping na ten %. This is our comparative advantege!
Jamani, hii culture a kusindikiza na kufanya things as usual inatupeleka pabaya! Hakuna wa kukemea lolote!
It is time sasa tuamke. Kila siku visingizio kibao!
Sisi kama Taifa tuna msimamo gani?
Tutakuwa wasindikizaji hadi lini? Tusipoangalia, hata watoto wetu watacopy na kufanya hayo kuwa maisha yetu,