Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,147
Maeneo ya Tabata Mangumi karibu na garage ya Saibaba kuna kiwanda cha kutengeneza Rasta za kina mama kinaitwa Prima. Kiwanda hiki kinamilikiwa na raia wa kigeni kutoka China
!
Hawa jamaa wanatumikisha vijana wetu kwa wastani wa masaa 10 kwa siku, kuelekea sikukuuu hivi watato wanatoka hadi saa tatu za usiku. Ujira wanalipa ni sh 5000 kwa siku
Mazingira ya kiwanda hayafai hata kidogo hakuna ventilation hakuna AC wala feni kuna vidilisha vidogo viko juu, watoto wanaanguka kila siku Actually wiki mbili zilizopita kuna mfanyakazi wa kike alifariki dunia ghafla
Machines wanazotumia hawajamaaa ni manual wanapump kwa manually na imagine kazi wanayofanya kwa siku hawa vijana. Kwa wastani wanazalisha rasta hadi mia 3 kwa mtu 1 kwa siku, bei ya reja reja ni sh 7000 kwa bunda 1
Jamani hii ni overexploitation ya vijana wetu, ujira wanapewa hauendani na hali halisi ya maisha ya mtanzania. Kiufupi wanashinda njaaa kila siku ili waweze ku save angalau nauli ya kuwarudisha makwao Wizara ya Kazi, Vyama vya kutetea hak za wafanyakazi tena Mgaya anakaaa karibu huku kabisa okoeni maisha ya vijana wetu
Halafu uki mis-behave kule ndani unachezea makofi toka kwa mchina .! Vijana wanaogopa bala
Hawa jamaa wanatumikisha vijana wetu kwa wastani wa masaa 10 kwa siku, kuelekea sikukuuu hivi watato wanatoka hadi saa tatu za usiku. Ujira wanalipa ni sh 5000 kwa siku
Mazingira ya kiwanda hayafai hata kidogo hakuna ventilation hakuna AC wala feni kuna vidilisha vidogo viko juu, watoto wanaanguka kila siku Actually wiki mbili zilizopita kuna mfanyakazi wa kike alifariki dunia ghafla
Machines wanazotumia hawajamaaa ni manual wanapump kwa manually na imagine kazi wanayofanya kwa siku hawa vijana. Kwa wastani wanazalisha rasta hadi mia 3 kwa mtu 1 kwa siku, bei ya reja reja ni sh 7000 kwa bunda 1
Jamani hii ni overexploitation ya vijana wetu, ujira wanapewa hauendani na hali halisi ya maisha ya mtanzania. Kiufupi wanashinda njaaa kila siku ili waweze ku save angalau nauli ya kuwarudisha makwao Wizara ya Kazi, Vyama vya kutetea hak za wafanyakazi tena Mgaya anakaaa karibu huku kabisa okoeni maisha ya vijana wetu
Halafu uki mis-behave kule ndani unachezea makofi toka kwa mchina .! Vijana wanaogopa bala