Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
- Thread starter
- #21
Licha ya kwamba agenda yako hapa ni kufufua hisia za udini kwa ajili ya uchaguzi wa Chalinze, kwa taarifa yako ni kwamba sio lazima kwa kila asiyeamini katika dini za kuletwa ni mchawi, anaweza kuwa ni muumini wa dini za asili. Pia ni vizuri ukatambua kuwa uchawi pia ni imani ambayo ina wafuasi wengi ambao pia ni waumini wa dini zote unazozijua.
Maneno niliyomwambia nduguyo hapo juu nawe yakufaa upewe,
Kuna watu wasipokuelewa maneno na matendo yako, mshukuru Jah, wewe bado unafikra chanya, wakianza kukuelewa jichunguze ni wapi umeanguka maana umeanza kuwaza kama wao