Watanzania 34.3% ni wachawi, hawaamini Mungu, Mtume wala Jah

Licha ya kwamba agenda yako hapa ni kufufua hisia za udini kwa ajili ya uchaguzi wa Chalinze, kwa taarifa yako ni kwamba sio lazima kwa kila asiyeamini katika dini za kuletwa ni mchawi, anaweza kuwa ni muumini wa dini za asili. Pia ni vizuri ukatambua kuwa uchawi pia ni imani ambayo ina wafuasi wengi ambao pia ni waumini wa dini zote unazozijua.

Maneno niliyomwambia nduguyo hapo juu nawe yakufaa upewe,

Kuna watu wasipokuelewa maneno na matendo yako, mshukuru Jah, wewe bado unafikra chanya, wakianza kukuelewa jichunguze ni wapi umeanguka maana umeanza kuwaza kama wao
 
Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)

Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.
Mkuu naomba source ya hizo takwimu ulizoweka hapo.

According to CIA:
mainland - Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%; Zanzibar - more than 99% Muslim
Tanzania

https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/fields/2122.html

ingia na hapa
Religion in Tanzania - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Acha kupinga ulichoandika mwenyewe.
Kichwa cha uzi umeandika [h=2]" Watanzania 34.3% ni wachawi, hawaamini Mungu, Mtume wala Jah."

Unajichanganya sana umesema watanzania 34.3 ni wachawi,hawamwamini Mungu,Mtume wala Jah.
Nikakuuliza kwamba kumtomwamini Mungu,Mtume au Jah ni uchawi?kisha unauliza nisome kichwa cha uzi.
C.C Kiranga



kiranga ndo habari ya mujhini...
Kiranga ndo mwarubaini wenu humu.
 
Last edited by a moderator:
Acha kupinga ulichoandika mwenyewe.
Kichwa cha uzi umeandika [h=2]" Watanzania 34.3% ni wachawi, hawaamini Mungu, Mtume wala Jah."

Unajichanganya sana umesema watanzania 34.3 ni wachawi,hawamwamini Mungu,Mtume wala Jah.
Nikakuuliza kwamba kumtomwamini Mungu,Mtume au Jah ni uchawi?kisha unauliza nisome kichwa cha uzi.
C.C Kiranga


Kashajibu hilo swali?

Mimi siamini mungu, mtume wala Jah (despite being a huge reggae fan who collects not only the Bob Marleys andUB40s of this world, but also John Holts and Dr. Alimantados), ni Mtanzania na siamini uchawi pia.

Kifupi siamini supernatural powers zozote, na.zaidi ya hapo, sitaki kuamini nataka kujua.

Kutoamini mungu, mtume wala Jah ni uchawi?
 
Last edited by a moderator:
Kashajibu hilo swali?

Mimi siamini mungu, mtume wala Jah, ni Mtanzania na siamini uchawi pia.

Kifupi siamini supernatural powers zozote, na.zaidi ya hapo, sitaki kuamini nataka kujua.

Kutoamini mungu, mtume wala Jah ni uchawi?

Angalia post zangu huko nyuma tayari nilishajibu tena kwaufasaha japo kwa lugha ngumu jambo ninaloamini mlengwa atakuwa hajanielewa, na hiyo sio jukumu langu kumuelewesha/kuwaelewesha.
 
Angalia post zangu huko nyuma tayari nilishajibu tena kwaufasaha japo kwa lugha ngumu jambo ninaloamini mlengwa atakuwa hajanielewa, na hiyo sio jukumu langu kumuelewesha/kuwaelewesha.

Post ipi specifically?

We have hyperlink technology, don't make me guess which post are you referring to if you can give a link in a minute.
 
Post ipi specifically?

We have hyperlink technology, don't make me guess which post are you referring to if you can give a link in a minute.

Hahaaa Kiranga, tupo ukurasa wa pili tu hapa, jipe kazi kidogo yakurudi nyuma usome post zangu zote utaona mali nilipojibu swali la mdau huyo.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nadhani asilimia ya wanaoamini hayo mambo ya kichawi ni kubwa sana.

Na kinachonishangaza zaidi, hao hao waumini wa dini za Kikristo na Kiislamu, wapo wengi sana kati yao wanaoamini huo upuuzi wa mambo ya kishirikina.
 
Mimi nadhani asilimia ya wanaoamini hayo mambo ya kichawi ni kubwa sana.

Na kinachonishangaza zaidi, hao hao waumini wa dini za Kikristo na Kiislamu, wapo wengi sana wanaoamini huo upuuzi wa mambo ya kishirikina.

cc Kiranga
 
Last edited by a moderator:
Nimeingia kwenye hiyo link, lakini nadhani kuna kitu ulisahau(?) kucopy. angalia hapo chini kwenye red.

Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%){{Sensa ya 27 Agosti1967[SUP][1][/SUP]}}

ingia kwenye hizo link nilizokuwekea na uangalie ni ya mwaka gani.

ingia na hapa
Religion in Tanzania - Wikipedia, the free encyclopedia

https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/fields/2122.html
 
Kujifunza taaluma yoyote ni kazi ngumu, uchawi umeanza kujifunza juzi leo unatafiti uchawi. Sampuli zilipatikanaje?
 
Mimi namini waislam nchi hii niwengi kuliko wacristo atakaebisha abishe tu kabla ya babu yangu alinieleza sensa iliofanyika 1967 waislam walikuwa wengi atakaebisha abishe tu
 
Back
Top Bottom