Watanzania 34.3% ni wachawi, hawaamini Mungu, Mtume wala Jah

Omba m/mungu(Allah) akuongoze kabla haujafa vinginevyo utaenda pabaya

Dini njia moja ya kuwadhibiti watu,wazungu waliliona hilo,cha mwanzo walichofanya ni kuweka makao makuu ya dini huko Vatican,Je yesu ametokea Italy,kuna uhusiano gani katika ya dini ya yesu na vatican,mpaka Yesu wakamchora akiwa blondy blue eyes kama wao wazungu.

waislam ndio hivyo hivyo makka ndio ila kitu kila mwaka watu wanamiminika Saudi arabia kupeleka pesa,Kuna watu hasa waislam wameacha kuwapeleka watoto wao mashuleni kwababu ya dini yao, eti kwasababu wakenda shule watakuwa wakristo

Mkuu fungua macho uone fungua masikio usikie,,,Kabla ya hawa wageni kuja Afrika kuleta dini zao waafrika tayari walikuwa na dini zao,Kabla hawa wageni kwenda Amerika ya kusini wahindi wa marekani ya kusini walikuwa tayari wana dini zao na zilikuwa zinafanya kazi vizuri....

Hivi sasa duniani kote kuna chuki za kidini chuki zilipandikizwa na wageni,kama si warabu basi wazungu.....
 

Ukitaka kumtawala binadamu maisha yake yote,mtawale kifikra yaani dhibiti fikra zake uone.

Hao imported gods wenu Ni wapuuzi tu!
 
Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)

Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.


kumbe sisi (34.3%) ndiyo wengi. Mbona ninyi waislamu na wakristo mna makelele sana ilhali tunawazidi kwa idadi. subirini siku tukichachamaa...
 
Watu wapuuzi sana eti kuwa na fikra za kitumwa eti wanamuabudu mungu. Dini ni sehemu tu ya tamaduni hivyo hata afrika tanzania tunazo tamaduni zetu. Iweje tamaduni za kiafrika uziite uchawi? Kuamini dini za kiarabu na kizungu au nje ya imani ya mwenye asili ya africa ni utumwa wa fikra. Kama kuamini imani za kiafrika ni uchawi okey basi mimi ni mchawi namba moja na siamini bibilia wa qurani zaidi ya kufanya matambiko ya kila mwaka na mambo yangu yananyoka.

Nimeuliza hapo juu.

Tofauti ya kimsingi (ukiondoa arbitrary social elevation of foreign religions due to historical/ socio-economic factors) kati ya hizi zinazoitwa dini na uchawi ni nini?

As far as I am concerned, zote ni superstitions tu.

Sijajibiwa bado mpaka sasa.
 
Watu wapuuzi sana eti kuwa na fikra za kitumwa eti wanamuabudu mungu. Dini ni sehemu tu ya tamaduni hivyo hata afrika tanzania tunazo tamaduni zetu. Iweje tamaduni za kiafrika uziite uchawi? Kuamini dini za kiarabu na kizungu au nje ya imani ya mwenye asili ya africa ni utumwa wa fikra. Kama kuamini imani za kiafrika ni uchawi okey basi mimi ni mchawi namba moja na siamini bibilia wa qurani zaidi ya kufanya matambiko ya kila mwaka na mambo yangu yananyoka.

Dini za kizungu ndio zipi?
 
Dini za jadi (34.3%), Ukristo (33.5%), Uislamu (31.4%), wengineo (0.8%)

Takwimu hizi zinaweza kuwa hazina maana lakini zinatoa taswira ya imani za Watanzania.
Very weird thread. Anyways let me teach you a little .......

WACHAWI:
1. Wapo wanao amini Allah
2. Wapo ambao ni Non-theist
3. Wapo ambao ni agnostic
4. Wapo ambao wanaamini Jah
5. Wapo ambao wanaamini mungu
6. Wapo ambao ni Wanasiasa "makomonisti"


I mean, kwanini unaweka thread yenye udhaifu namna hii?
 
[h=1]Atheist Witchcraft Explained[/h]


[h=1]http://heatherdroberts.hubpages.com/hub/How-to-be-an-Atheist-Witch[/h]







 
[h=2]Atheist Witchcraft Explained

How can Witchcraft include Atheism?
[/h]Witchcraft is a practice by definition. Religion can be a part of it but it is not required. Here is a short, sweet and generic definition that I always enjoyed: a witch is a person who practices sorcery. Sorcery can include a variety of aspects such as healing, divination, magic, alchemy, necromancy, spells, herbs, meditation, etc. These practices are often an avenue within an established spiritual structure.
This definition is from this source. It is an online notebook from a fellow Agnostic witch. I found the webpage very appealing and interesting because you don't get many Atheistic witches with knowledge beyond just witchcraft.
I mentioned that an Atheist can be pagan, as well as a Satanist. I think this is true. Neopaganism is an 'umbrella' term for all the earth and New Age religions that cropped up over the years. Neo means new, Neopaganism is simply a new Paganism. However, the old definition of pagan can apply to both Satanists and Atheists: one who has little or no religion and who delights in sensual pleasures and material goods; an irreligious and hedonistic person.
Atheist witches still practice their craft, it just doesn't involve deities or gods. Satan or Zeus or Inanna or God are human ideals. They only carry power when you give them power. Deities are thought forms carried by the minds and hearts of humans to remind them of how human they are. This goes for faeries, gnomes, mer-people and other mythological beasts. Gods and mythological creatures are also there to serve as answers to questions.
However, one cannot be completely skeptical and be a witch. I am skeptical in ways that help me weed out the misinformation from a text or someone's speech. One cannot be skeptical of or doubt one's spell. A spell (usually solitary) is a psychodrama or performance to help accomplish a goal. Being skeptical of one's techniques might override the outcome. But I have been wrong before.
Witchcraft is something that I can't simply pull away from myself. It is so much a part of me as my heart. I do witchcraft without being aware of it. It something that has been a part of my life since I was very young and maybe even when I am very old.


Atheist Witchcraft Explained
 
Most WITCHES ARE NON-THEISTS

There is one here in JF. A Non Theist Witch. Her name starts with "K"

sheka.jpeg
 
Back
Top Bottom