Watanzani tuko vipi

Elizabeth Dominic

Platinum Member
Dec 7, 2007
4,555
3,649
Salaam Wakubwa
Naomba mawazo/mchango wenu katika kufahamu upekee wa Mtanzania ukifananisha na nchi nyingine duniani katika
Mazingira tunayoishi mf mitaa na jinsi watu wanavyosurvive maisha ya mjini
Kitu gani kina wainfluence/kuwavutia waTZ zaidi na je unapokuwa na washkaji kusocialize ni kitu gani uniquely Tanzanian unapendelea kufanya? Na je kwenye suala la mavazi, michezo kuna kitu cha pekee kinachoweza kututambulisha katika nyanja mbalimbali?
 
Watanzania twaweza kuwa hatujuani ila tukakaa pamoja na kula na kunywa na kununuliana bia utadhani tumesoma pamoja ila nchi nyingine hakunaga....mfano Kenya
 
Watanzania twaweza kuwa hatujuani ila tukakaa pamoja na kula na kunywa na kununuliana bia utadhani tumesoma pamoja ila nchi nyingine hakunaga....mfano Kenya

Kweli hiyo kipekee kabisa je uko kitaa watu wapoje? Na lugha za mtaani je
 
Kweli hiyo kipekee kabisa je uko kitaa watu wapoje? Na lugha za mtaani je
Lugha ni ngumu sana kwa kuwa lahaja zimeongezeka sana....unaweza hama mtaa ukawakuta jamaa wanaongea usiambulie kitu.....
 
tunapenda kusalimiana...hata kama tumeonana mara ya kwanza!...
hatuna HARAKA kabsaaaa!..muda kwetu sio mali...
tunapenda kuzungumzia NGONO na kufanya!..LOL

tuna kauli ya ASANTE,NASHUKURU,NAOMBA...hata kama ni haki yako!..
 
tunapenda kusalimiana...hata kama tumeonana mara ya kwanza!...
hatuna HARAKA kabsaaaa!..muda kwetu sio mali...
tunapenda kuzungumzia NGONO na kufanya!..LOL

tuna kauli ya ASANTE,NASHUKURU,NAOMBA...hata kama ni haki yako!..

We acha tu, eti wanaita ukarimu lakini ni uungwana au sio?
 
Back
Top Bottom