Watanuaji wa barabara Mbezi beach leo wakiona chamoto

Afande awadhi anastahili kuwa Aijipiii... Anajituma sana, hataki rushwa, haonei mtu, na akipandishwa cheo anakataa... Sio mtu wa kujikweza kabisa, safi sana awadhi.
 
Afande awadhi anastahili kuwa Aijipiii... Anajituma sana, hataki rushwa, haonei mtu, na akipandishwa cheo anakataa... Sio mtu wa kujikweza kabisa, safi sana awadhi.
Hahahahaa, akipandishwa cheo anakataa?!!!!!
Hamjui hata PR Skills
 
Wewe wasema ( waandika)

Umenikumbusha! Yupo rafiki yangu raia wa magharibi. Siku moja huko kwao akalimwa faini na Traffic. Yeye alidhani ameonewa ingawa alilipa! Akapeleka malalamiko mahakamani kupinga faini ile. Katika hukumu yake Jaji alimwambia: "Wewe ndiyo umekosea. Askari wetu hawa wanaaminika hawawezi kuwa walikosea kukuta na hatia ya makosa ya usalama barabarani. Hiyo faini inathibitishwa na mahakama hii." Ndugu aliridhika akarudi nyumbani kimya.
 
Kuchomoa funguo sio sahihi.....

Kuwapiga fine ni sahihi


Ila watanuaji wanakeeeraaa
Inawezekana ukawa sawa mkuu. Kutokana na ukubwa wa tatizo, ( magari ni mengi yenye kuvunja sheria kumzidi anayesimamia sheria ), utekelezaji wake unakuwa kiasi ni changamoto inayopelekea mhusika kubuni njia mbadala. Fikiria, kama inamchukua askari dakika 10-15 kumsomea mtuhumiwa kosa na kumuandikia fine, ni watuhumiwa wangapi watapita bila ya kupewa adhabu? Nadhani, anachofanya ni sahihi kwa wakati husika mpaka pale yule askari atakapoweza kuwa na nafasi (muda) wa kuwaandikia fine au kufuata utaratibu mwingine.
 
Inawezekana ukawa sawa mkuu. Kutokana na ukubwa wa tatizo, ( magari ni mengi yenye kuvunja sheria kumzidi anayesimamia sheria ), utekelezaji wake unakuwa kiasi ni changamoto inayopelekea mhusika kubuni njia mbadala. Fikiria, kama inamchukua askari dakika 10-15 kumsomea mtuhumiwa kosa na kumuandikia fine, ni watuhumiwa wangapi watapita bila ya kupewa adhabu? Nadhani, anachofanya ni sahihi kwa wakati husika mpaka pale yule askari atakapoweza kuwa na nafasi (muda) wa kuwaandikia fine au kufuata utaratibu mwingine.
Kama alikuwa mwenyewe "inaeleweka" ingawa haipendezi....lakini wabongo walivyo wangetumia fursa kuingia mitini


Ila.....

Si angekusanya leseni zao???

Anyway...inategemea na mazingira
 
Kama alikuwa mwenyewe "inaeleweka" ingawa haipendezi....lakini wabongo walivyo wangetumia fursa kuingia mitini


Ila.....

Si angekusanya leseni zao???

Anyway...inategemea na mazingira
Ni janga. Anachojitahidi kukifanya ni kuwa na uhakika kuwa hutokimbia kabla ya kuandikiwa fine. Kwa sasa funguo pekee inamfanya dereva abaki eneo lile.
 
Hakuna kitu Askari wetu wanafanya ambacho hawaruhusiwi kufanya wewe tu labda ndiyo hauelewi mipaka ya Askari wetu inakwenda mpaka wapi!

Na wanangoaga mpaka plate number. Unakuta wana mpaka spanner ya kufungulia bolt ya plate number.
 
Na wanangoaga mpaka plate number. Unakuta wana mpaka spanner ya kufungulia bolt ya plate number.


Wanafika huko kwa sababu ya kukataa kutii Sheria zetu bila shurti, lkn kama ukifanya wanavyokutaka bila ubishi hawawezi kufika huko!
 
Awadhi noma aisee omba Mungu sikutane nae halafu uwe na kosa hata upige simu kwa IGP au No. 1 hakuachii. Big up afande maana unawafunza wanaojifanya wajanja mjini
Vipi kwa upande wa maadili? Anapokea "za kupigia kiwi viatu"?:D:D:D
 
Afande awadhi anastahili kuwa Aijipiii... Anajituma sana, hataki rushwa, haonei mtu, na akipandishwa cheo anakataa... Sio mtu wa kujikweza kabisa, safi sana awadhi.
Huyu anakamata achilia askari polisi hata maafisa wa polisi wanaotanua barabarani dah acha tu hakuna uhuru uliozolekea hapo mwanzo kwa askari kutanua wanavyotaka sasa hivi ni pasu kwa pasu kwenye foleni
 
Huyu afande awadhi anaogopwa na madereva wa daladala ajabu, kuna dereva alitaka kutuingiza kwenye mtaro kisa kapigiwa simu na mwenzie kwamba Awadhi yuko mbele.
Huyo ndo Mkuu wa traffic kanda maalum DSM usishangae ndani ya siku 10 dsm traffic walipokusanya mil.920 na anaogopwa na askari wenziwe haijalishi ni ofisa au askari wa kawaida ana formula yake ya sheria ni msumeno hukata mbele na nyuma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom