Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Nimeona siyo vibaya watanganyika wenzangu nikiwaonyesha baadhi ya vipeperushi vilivyoko Unguja(Stone Town) karibu kila kona nilikutana na ujumbe huu...Je watanganyika mnasemaje...
+++++++++++++++++++++
Watanganyika inapasa tujielewe. Ili kufikia hatua hiyo pitia hii mada.
link https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/334649-tundu-lissu-na-kiini-macho-cha-muungano-12.html