Ni beti ya wimbo wa pwani!
Bure usijisumbuwe cheo chetu kimoja
Ya nini matusi, ugomvi na mabishano
Kama wewe ni mkewe na mimi keshaniowa
Yanini hasama choyo na kununiana
Kama wewe wa nyumba kubwa mimi ni wa nyumba ndogo
Tutabanana hapa hapa kwa mwanamme mmoja sote tule kwa pamoja!
Bure usijisumbuwe cheo chetu kimoja
Ya nini matusi, ugomvi na mabishano
Kama wewe ni mkewe na mimi keshaniowa
Yanini hasama choyo na kununiana
Kama wewe wa nyumba kubwa mimi ni wa nyumba ndogo
Tutabanana hapa hapa kwa mwanamme mmoja sote tule kwa pamoja!