Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,695
- 29,030
Mzuka wanaJF!
Lile kundi la wahun kule Syria na Iraq ISIS walitoa video wakiwaninginiza juu chini binadamu wenzao na kuwachinja bill huruma kama kondoo. Wahun hao walifanya tukio hilo la kuogofya wakisherehekea siku ya idd.
Wataalam wamesema video hiyo ndio ya kikatili kuliko zote wahun hao washawahi kutoa. Inasemekana mateka wengi wanawaomba sana ISIS kuwauwa kwa kupigwa risasi badala ya kuchinjwa na kuchomwa moto hai.
WITO
Baada ya kuangalia hii Video naipongeza serikali kwa kulinda amani na utilivu nchini. Japo tuna matatizo mbalimbali na tofauti za hapa na pale ila hatuna budi kujivunia zawad yetu ya amani na utulivu. Binadamu ni hatari sana.
WATCH: New ISIS Video ‘Story of Slaughter’ Beheads 5 ‘Spies’ & Puts Their Heads on Spikes
Lile kundi la wahun kule Syria na Iraq ISIS walitoa video wakiwaninginiza juu chini binadamu wenzao na kuwachinja bill huruma kama kondoo. Wahun hao walifanya tukio hilo la kuogofya wakisherehekea siku ya idd.
Wataalam wamesema video hiyo ndio ya kikatili kuliko zote wahun hao washawahi kutoa. Inasemekana mateka wengi wanawaomba sana ISIS kuwauwa kwa kupigwa risasi badala ya kuchinjwa na kuchomwa moto hai.
WITO
Baada ya kuangalia hii Video naipongeza serikali kwa kulinda amani na utilivu nchini. Japo tuna matatizo mbalimbali na tofauti za hapa na pale ila hatuna budi kujivunia zawad yetu ya amani na utulivu. Binadamu ni hatari sana.