kipusy
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 639
- 321
wakuu kuna kitu kinanisumbua sana!mimi sijao lakini umri umesogea'nimekuwa na uhusiano na wanawake wengi'kinachonishangaza ni baadhi ya wanawake nikifanya na mapenzi inakuwa shughuli pevu'yaani natafuna mzigo kinoma wakati mwingine inaweza kufika mpaka dakika 30'lakini nimekutana na mwanamke ambaye nahisi naweza kudumu naye'cha kushangaza yaani nikiingiza tu nakojoa hapo hapo'yaani mara tatu zote yanajirudia yaleyale'aibu tupu ndugu zangu tatizo ni ninii?mbona wengine tunadumu muda mrefu wengine ukiingiza tu unakojoa??
pole sana ndugu. mengi wameongea jamaa zangu hapo juu, la msingi, inaonyesha unampenda sana huyo manzi na hua unapania sana gemu umuonyeshe kazi ya maana... na unakua na hisia kali sana juu yake... punguza hisia, tumia muda mwingi kumuaandaa na mshike na mchezee kama upo na mdoli tu umzoee umuone wa kawaida.... wakati unaanza kumuingilia hakikisha uume wako uko rigid sana, yaani umesimama to critical point misuli imekakamaa.... wakati uume uko ndani ya uke wake fanya shughuli nyingine kama kushika shika ****** na sehemu ya juu ya uke wake ambako kuna kisimi (clitoris), mdomo uwe kwenye matiti, masikio, mdomoni kwake na shingoni ukiwa unaramba kama chatu anamuandaa mbwa ili ammeze... hapo akili yako isisikilize utamu wa k*** kwa asilimia 100, bali jaribu kuhisi utamu wa mate yake na ngozi yake.unapohisi unataka kukojoa kabla yeye ajamaliza, bana misuli ya ****** kama vile unakaza kisha punguza speed au acha kabisa kupush mashine... ingiza mawazo ya nayokukera kwa muda kama vile watu unaowadai ili kupoteza hisia kali za utamu, kisha anza upya makamuziii.........