Wataalam wa IT naombeni msaada

Da'Vinci

JF-Expert Member
Dec 1, 2016
35,697
106,861
Habari...
Jumamosi nilikua naitumia Tarakirishi mpakato usiku nikaizima after hours ikiwa nzima kabisa. Jumapili jioni nikaiwasha niitumie lakini ikawa inaonyesha logo kidogo then inakuja rangi nyeupe kwenye kioo kizima (White Screen of Death)

Ikiwa hivyo huwezi kuona lololote wala kufanya chochote..nikajaribu kutumia Functions keys (Safe booting) ikashindikana...Nikataka nijaribu kuweka window haikuwezekana.

Options ikabidi niifungue japo iliniuma coz ndio ilikua mara ya kwanza toka naitumia. Nikatengenisha kila kitu safisha, nikahot na Hot Gun. Nikafunga nikawqsga kitu bado kipo vilevile.
Nikaona niifungie ndani tu for 3days lakini bado iko vilevile.

So nimeona niifngue kisha nitoe HDD nihamishe Data zote zilizomo kwenye Computer nyingie kisha HDD hiyo niiwekee Window nyingine kwa kutumia Computer nyingine then nihamishe kwenye Computer yangu hii mbovu.

Je njia hii itafaa?? Nasubiri Go ahead yenu juu ya hili au kama kuna njia zingine nielekezeni nufanye.
Ahsanteni...🙏
 
white-screen-laptop.jpg

Natamani kuUpdate Graphics Drivers lakini nitawezaje wakati PC haionyeshi chochote kabisa??
I'm running out of options
 
Ubaya wa JF ya sasa hivi bila connection ya kujuana na watu humu hupati msaada.
Daah msaada wenu wataalam
Usiwe na haraka. Hauna any bootable USB ujaribu kuboot? Hii itakuwezesha kuendelea ku rule out kama kuna any faulty hardware ama ni hdd pekee.
 
Usiwe na haraka. Hauna any bootable USB ujaribu kuboot? Hii itakuwezesha kuendelea ku rule out kama kuna any faulty hardware ama ni hdd pekee.
Updates..

Nimejaribu kutoa HDD na kuweka window mpya ila nilivyoirudisha bado tatizo liko palepale. Au shida itakua Screen???
 
Habari...
Jumamosi nilikua naitumia Tarakirishi mpakato usiku nikaizima after hours ikiwa nzima kabisa. Jumapili jioni nikaiwasha niitumie lakini ikawa inaonyesha logo kidogo then inakuja rangi nyeupe kwenye kioo kizima (White Screen of Death)

Ikiwa hivyo huwezi kuona lololote wala kufanya chochote..nikajaribu kutumia Functions keys (Safe booting) ikashindikana...Nikataka nijaribu kuweka window haikuwezekana.

Options ikabidi niifungue japo iliniuma coz ndio ilikua mara ya kwanza toka naitumia. Nikatengenisha kila kitu safisha, nikahot na Hot Gun. Nikafunga nikawqsga kitu bado kipo vilevile.
Nikaona niifungie ndani tu for 3days lakini bado iko vilevile.

So nimeona niifngue kisha nitoe HDD nihamishe Data zote zilizomo kwenye Computer nyingie kisha HDD hiyo niiwekee Window nyingine kwa kutumia Computer nyingine then nihamishe kwenye Computer yangu hii mbovu.

Je njia hii itafaa?? Nasubiri Go ahead yenu juu ya hili au kama kuna njia zingine nielekezeni nufanye.
Ahsanteni...🙏
Umefanikiwa kuhamisha data
 
Habari...
Jumamosi nilikua naitumia Tarakirishi mpakato usiku nikaizima after hours ikiwa nzima kabisa. Jumapili jioni nikaiwasha niitumie lakini ikawa inaonyesha logo kidogo then inakuja rangi nyeupe kwenye kioo kizima (White Screen of Death)

Ikiwa hivyo huwezi kuona lololote wala kufanya chochote..nikajaribu kutumia Functions keys (Safe booting) ikashindikana...Nikataka nijaribu kuweka window haikuwezekana.

Options ikabidi niifungue japo iliniuma coz ndio ilikua mara ya kwanza toka naitumia. Nikatengenisha kila kitu safisha, nikahot na Hot Gun. Nikafunga nikawqsga kitu bado kipo vilevile.
Nikaona niifungie ndani tu for 3days lakini bado iko vilevile.

So nimeona niifngue kisha nitoe HDD nihamishe Data zote zilizomo kwenye Computer nyingie kisha HDD hiyo niiwekee Window nyingine kwa kutumia Computer nyingine then nihamishe kwenye Computer yangu hii mbovu.

Je njia hii itafaa?? Nasubiri Go ahead yenu juu ya hili au kama kuna njia zingine nielekezeni nufanye.
Ahsanteni...🙏
Binafsi ninaweza pendekeza vitu vichache, Kama siku za karibuni ume-update inaweza kua hardware haisupport update kama sivyo inaweza kua ni outdated drivers, pia inaweza kua issue ya graphic card kama hizo zote sio tatizo
 
Habari...
Jumamosi nilikua naitumia Tarakirishi mpakato usiku nikaizima after hours ikiwa nzima kabisa. Jumapili jioni nikaiwasha niitumie lakini ikawa inaonyesha logo kidogo then inakuja rangi nyeupe kwenye kioo kizima (White Screen of Death)

Ikiwa hivyo huwezi kuona lololote wala kufanya chochote..nikajaribu kutumia Functions keys (Safe booting) ikashindikana...Nikataka nijaribu kuweka window haikuwezekana.

Options ikabidi niifungue japo iliniuma coz ndio ilikua mara ya kwanza toka naitumia. Nikatengenisha kila kitu safisha, nikahot na Hot Gun. Nikafunga nikawqsga kitu bado kipo vilevile.
Nikaona niifungie ndani tu for 3days lakini bado iko vilevile.

So nimeona niifngue kisha nitoe HDD nihamishe Data zote zilizomo kwenye Computer nyingie kisha HDD hiyo niiwekee Window nyingine kwa kutumia Computer nyingine then nihamishe kwenye Computer yangu hii mbovu.

Je njia hii itafaa?? Nasubiri Go ahead yenu juu ya hili au kama kuna njia zingine nielekezeni nufanye.
Ahsanteni...🙏
Hdd si ishu. Maan unaweza remove hdd na pc ikawaka ikakupeleka ktk BIOS.

NAWASIWASI na uzimaji wako uliizimaje? Then pc yako em itaje brand ni aina gani coz kuna fault indicators zinavary kutok pc moja na pc nyingine (vendors).

- Motherboard imeenda na maji.

- Screen Fault.

- RAM (check ram).
 
Habari...
Jumamosi nilikua naitumia Tarakirishi mpakato usiku nikaizima after hours ikiwa nzima kabisa. Jumapili jioni nikaiwasha niitumie lakini ikawa inaonyesha logo kidogo then inakuja rangi nyeupe kwenye kioo kizima (White Screen of Death)

Ikiwa hivyo huwezi kuona lololote wala kufanya chochote..nikajaribu kutumia Functions keys (Safe booting) ikashindikana...Nikataka nijaribu kuweka window haikuwezekana.

Options ikabidi niifungue japo iliniuma coz ndio ilikua mara ya kwanza toka naitumia. Nikatengenisha kila kitu safisha, nikahot na Hot Gun. Nikafunga nikawqsga kitu bado kipo vilevile.
Nikaona niifungie ndani tu for 3days lakini bado iko vilevile.

So nimeona niifngue kisha nitoe HDD nihamishe Data zote zilizomo kwenye Computer nyingie kisha HDD hiyo niiwekee Window nyingine kwa kutumia Computer nyingine then nihamishe kwenye Computer yangu hii mbovu.

Je njia hii itafaa?? Nasubiri Go ahead yenu juu ya hili au kama kuna njia zingine nielekezeni nufanye.
Ahsanteni...
Dah pole sana. Ingekuwa imeonesha BSOD na ujumbe ambao unasema "your computer is ran to a problem need to restart" ningekusaidia maana juzi tu ndio nimetoka kulitatua hilo tatizo la BSOD.
Kwa ushauri tu fungua then check ram. Na kama kuna slot 2 za ram jaribu kuchange slot.
 
Dah pole sana. Ingekuwa imeonesha BSOD na ujumbe ambao unasema "your computer is ran to a problem need to restart" ningekusaidia maana juzi tu ndio nimetoka kulitatua hilo tatizo la BSOD.
Kwa ushauri tu fungua then check ram. Na kama kuna slot 2 za ram jaribu kuchange slot.
Ram yenye fault huwa haipost, kasema logo inaonekana kidogo
 
Umefanikiwa kuhamisha data
Ndio nimehamisha zote muhimu kwenye Computer kubwa.
Hdd si ishu. Maan unaweza remove hdd na pc ikawaka ikakupeleka ktk BIOS.
Hata kwenye BIOS haifiki mkuu
NAWASIWASI na uzimaji wako uliizimaje? Then pc yako em itaje brand ni aina gani coz kuna fault indicators zinavary kutok pc moja na pc nyingine (vendors).
  • Motherboard imeenda na maji.
  • Screen Fault.
  • RAM (check ram).
Shida nahisi ipo kwenye Graphics Card, nawaza kuichokonoa naumia
 
Back
Top Bottom