Kivyako mbona thread yako haina mashko? Omba radhi wana jf haraka? Wasukuma wameamka ile mbaya hv siku hzi rais wako unamsikia anakuja mwanza mara kwa mara? But lazma kabla ya kimbunga cha chadema alikua anakuja kila wiki!!!! Wasukuma ni wajanja sana siku hz Ngeleja katafuta watu wampokee aonekane anapendwa kumbe wapi na kwa taarifa yako tu Ngeleja 2015 hana chake Sengelema wamemchoka hawamtak tena!!!! Before u post a thread to critical thinkers like jf think twice
Bora wewe umemwelewesha.