Aliondoka chenge kwa ubadhilifu, nyumbani bariadi akapokelewa kishujaa, ngereja ameondolewa kwa ufisadi kwao sengerema wanajipanga kumpokea kishujaa! Ndg wana jf naomba mnijuze hawa wasukuma ni watu wa namna gani?
na kwanini unawajumuisha wasukuma wote? wasukuma wote wangekuwa na akili hizo akina wenje and co wangetokea wapi?Aliondoka chenge kwa ubadhilifu, nyumbani bariadi akapokelewa kishujaa, ngereja ameondolewa kwa ufisadi kwao sengerema wanajipanga kumpokea kishujaa! Ndg wana jf naomba mnijuze hawa wasukuma ni watu wa namna gani?
Aliondoka chenge kwa ubadhilifu, nyumbani bariadi akapokelewa kishujaa, ngereja ameondolewa kwa ufisadi kwao sengerema wanajipanga kumpokea kishujaa! Ndg wana jf naomba mnijuze hawa wasukuma ni watu wa namna gani?
na kwanini unawajumuisha wasukuma wote? wasukuma wote wangekuwa na akili hizo akina wenje and co wangetokea wapi?
"wanaopokelewa kishujaa" huwa wametuma fedha kununua watu na kugharimia ulaji huo wa muda mfupi ili kujipa moyo kwamba bado wana social constituency base. Otherwise Wasukuma ni watu walioamuka na sasa hivi hawataki Magamba kabisa.
wewe ni kabila gani?, ni vema ungeleta mjadala wa hoja na si kabila.
Nalimuwila gwa nghana giki, atiho nuulu umo uyo waleka numba nuulu baana ba ng'wawe bagosha na bakima, nuulu nina, nuulu ise, nuulu baana bakwe, nuulu malaale kulwa nguno yane na kulwa nguno ya Nghulu Jawiza,
Aliondoka chenge kwa ubadhilifu, nyumbani bariadi akapokelewa kishujaa, ngereja ameondolewa kwa ufisadi kwao sengerema wanajipanga kumpokea kishujaa! Ndg wana jf naomba mnijuze hawa wasukuma ni watu wa namna gani?
Ungeongeza list mkuu kuliko kununa, naamini hata wewe hali hii huipendi popote pale inapotokea ktk nchi yetu, lengo ni kukemea.
Nalimuwila gwa nghana giki, atiho nuulu umo uyo waleka numba nuulu baana ba ng'wawe bagosha na bakima, nuulu nina, nuulu ise, nuulu baana bakwe, nuulu malaale kulwa nguno yane na kulwa nguno ya Nghulu Jawiza,
O ng'weni o thread eye, ALILEGwan'hana gete!
Ulimhola wang'wise.
O ng'weni o thread eye, ALILE