Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Baada ya kuingalia picha hii kwa makini sana, nimegundua yafuatayo:
1. Msukuma huwa hali juu ya meza ya kwenye baa kama inavyoonekana, bali huwa anakula ugali akiwa chini ardhini.
2. Msukuma huwa hapakui ugali wake na kuuweka kwenye sinia kama inavyoonekana, huwa anakula ugali ukiwa katika chombo ulimopikiwa mfano chungu au sufuria.
3. Msukuma huwa hatumii mboga ya nyanya na vitunguu (kachumbari) kama inavyoonekana bali hutumia mlenda, maziwa n.k.
4. Msukuma huwa hakaangi nyama kama inavyooneka bali huchemsha na kula na ugali kama supu wanavyoiita kule Moshi.
5. Panga la Msukuma huwa halifunikwi na plastiki katika kishikio kama linavyoonekana bali hufunikwa na ngozi ya mkia wa ng'ombe (gulumuda).
6. Msukuma huwa hali sehemu moja na mwanamke kama inavyoonekana bali wanawake na wanaume hula peke yao.
7. Msukuma huwa hana mzaha na chakula kikitengwa, asingezubaa wakati ana kazi ya kufanya kama inavyoonekana bali angepigwa picha akiutendea haki ugali huo.
8. Seehemu anayoishi Msukuma kwa kiasi kikubwa ni nusu jangwa, bali hapa panaonekana ni eneo lenye mvua nyingi kama Tarime.
Kwa kuzingatia mambo manane hapo juu hakuna shaka yoyote picha hii haimhusu Msukuma.
Baada ya kuingalia picha hii kwa makini sana, nimegundua yafuatayo:
1. Msukuma huwa hali juu ya meza ya kwenye baa kama inavyoonekana, bali huwa anakula ugali akiwa chini ardhini.
2. Msukuma huwa hapakui ugali wake na kuuweka kwenye sinia kama inavyoonekana, huwa anakula ugali ukiwa katika chombo ulimopikiwa mfano chungu au sufuria.
3. Msukuma huwa hatumii mboga ya nyanya na vitunguu (kachumbari) kama inavyoonekana bali hutumia mlenda, maziwa n.k.
4. Msukuma huwa hakaangi nyama kama inavyooneka bali huchemsha na kula na ugali kama supu wanavyoiita kule Moshi.
5. Panga la Msukuma huwa halifunikwi na plastiki katika kishikio kama linavyoonekana bali hufunikwa na ngozi ya mkia wa ng'ombe (gulumuda).
6. Msukuma huwa hali sehemu moja na mwanamke kama inavyoonekana bali wanawake na wanaume hula peke yao.
7. Msukuma huwa hana mzaha na chakula kikitengwa, asingezubaa wakati ana kazi ya kufanya kama inavyoonekana bali angepigwa picha akiutendea haki ugali huo.
8. Seehemu anayoishi Msukuma kwa kiasi kikubwa ni nusu jangwa, bali hapa panaonekana ni eneo lenye mvua nyingi kama Tarime.
Kwa kuzingatia mambo manane hapo juu hakuna shaka yoyote picha hii haimhusu Msukuma.
View attachment 46453
kuna huu pia
Baada ya kuingalia picha hii kwa makini sana, nimegundua yafuatayo:
1. Msukuma huwa hali juu ya meza ya kwenye baa kama inavyoonekana, bali huwa anakula ugali akiwa chini ardhini.
2. Msukuma huwa hapakui ugali wake na kuuweka kwenye sinia kama inavyoonekana, huwa anakula ugali ukiwa katika chombo ulimopikiwa mfano chungu au sufuria.
3. Msukuma huwa hatumii mboga ya nyanya na vitunguu (kachumbari) kama inavyoonekana bali hutumia mlenda, maziwa n.k.
4. Msukuma huwa hakaangi nyama kama inavyooneka bali huchemsha na kula na ugali kama supu wanavyoiita kule Moshi.
5. Panga la Msukuma huwa halifunikwi na plastiki katika kishikio kama linavyoonekana bali hufunikwa na ngozi ya mkia wa ng'ombe (gulumuda).
6. Msukuma huwa hali sehemu moja na mwanamke kama inavyoonekana bali wanawake na wanaume hula peke yao.
7. Msukuma huwa hana mzaha na chakula kikitengwa, asingezubaa wakati ana kazi ya kufanya kama inavyoonekana bali angepigwa picha akiutendea haki ugali huo.
8. Seehemu anayoishi Msukuma kwa kiasi kikubwa ni nusu jangwa, bali hapa panaonekana ni eneo lenye mvua nyingi kama Tarime.
Kwa kuzingatia mambo manane hapo juu hakuna shaka yoyote picha hii haimhusu Msukuma.
Wabheja ng'wanangwa! bhawelage bhatumbafu bhenabha!
Angu banyelile gete ababehi benaba. Banyanna abha. Ubebe ulemahe ngosha?Wabheja ng'wanangwa! bhawelage bhatumbafu bhenabha!