The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,382
- 8,437
Hapa ndipo unaweza kuelewa Kwa nini Wazanzibari Wamekataa kuwa na Muungano wa Taifa Moja na Tanganyika,lengo ni kulinda identity Yao Kwa sababu wao ni minority hivyo wanachelea Kumezwa na kupoteza kabisa na watu wa Bara.
Kabila la Wafipa linalopatikana Mkoa wa Rukwa ambao ndio wenyeji inaelekea litapoteza Utambulisho wake ndani ya miaka 15 ijayo Kwa probably by 2035 Kwa sababu ya Kumezwa na Wasukuma ambao wanahamia na kuzaana Kwa Kasi sana Mkoa wa Rukwa.
Makabila madogo ya Wapimbwe na Wabende ambao ndio wenyeji wa Mkoa wa Katavi wakiwakilishwa na kina Pinda,Kamwelwe na Suleiman Kakoso Kwa Sasa kizazi Chao kimepotea kabisa Kwa Wasukuma.
Ukija Leo Katavi ni kama tuu uko Geita,Simiyu au Misungwi maana ni nadra kuwakuta hao wenyeji.Uhamiaji na Kasi kubwa ya kuzaana ya Wasukuma imepoteza utambulisho wa hayo makabila.
Kilichotokea Katavi ndicho kinaenda kutokea Mkoa wa Rukwa.Mathalani Kwa Wilaya ya Nkasi Kwa Sasa Wasukuma ni wengi kuliko makabila wenyeji.Kwa Wilaya zingine za Mkoa wa Rukwa idadi ya Wasukuma ni kama wako sawa na Wenyeji tofauti kabisa na miaka 10 Iliyopita.
Kwa mujibu wa matokeo ya isensa ya 2022,Kasi ya Ongezeko la watu Mkoa wa Rukwa imeongezeka kutoka wastani wa 3.2% Hadi kufikia growth rate ya 4.3% Kwa sababu ya Wasukuma.Likewise Kwa Katavi Ina growth rate ya 7.1%.
Uhamiaji na Kasi ya kuzaana ya Wasukuma imewafanya Wafipa kuwa mateka na Vibarua maana wameuza maeneo Kwa Wasukuma na Wasukuma kama mnavyowajua ni watu wa kubebana/Kushirikiana na wachapa kazi.
Pamoja na athari hizo za kupoteza Kwa hayo makabila Maarufu Kwa utaalamu wa Radi ila ujio wa Wasukuma umeleta maendelea kama ilivyo Kawaida Kwa Wahamiaji.Wamefungua biashara Mpya,Miji imechangamka,wanalima na kuvumbua maeneo mapya ya Kilimo na wanafuga yaani wameleta mifugo Kila mahala kwenye Mkoa wa Rukwa.
Swali.
Je nini kifanyike Ili kutunza Utambulisho wa kabila Fulani na kuondoa dominance ya makabila makubwa?
Maana tunakoelekea msije kushangaa Morogoro,Lindi,Pwani na Ruvuma ikawa ni Mikoa ya kabila Moja la Wasukuma.
Kabila la Wafipa linalopatikana Mkoa wa Rukwa ambao ndio wenyeji inaelekea litapoteza Utambulisho wake ndani ya miaka 15 ijayo Kwa probably by 2035 Kwa sababu ya Kumezwa na Wasukuma ambao wanahamia na kuzaana Kwa Kasi sana Mkoa wa Rukwa.
Makabila madogo ya Wapimbwe na Wabende ambao ndio wenyeji wa Mkoa wa Katavi wakiwakilishwa na kina Pinda,Kamwelwe na Suleiman Kakoso Kwa Sasa kizazi Chao kimepotea kabisa Kwa Wasukuma.
Ukija Leo Katavi ni kama tuu uko Geita,Simiyu au Misungwi maana ni nadra kuwakuta hao wenyeji.Uhamiaji na Kasi kubwa ya kuzaana ya Wasukuma imepoteza utambulisho wa hayo makabila.
Kilichotokea Katavi ndicho kinaenda kutokea Mkoa wa Rukwa.Mathalani Kwa Wilaya ya Nkasi Kwa Sasa Wasukuma ni wengi kuliko makabila wenyeji.Kwa Wilaya zingine za Mkoa wa Rukwa idadi ya Wasukuma ni kama wako sawa na Wenyeji tofauti kabisa na miaka 10 Iliyopita.
Kwa mujibu wa matokeo ya isensa ya 2022,Kasi ya Ongezeko la watu Mkoa wa Rukwa imeongezeka kutoka wastani wa 3.2% Hadi kufikia growth rate ya 4.3% Kwa sababu ya Wasukuma.Likewise Kwa Katavi Ina growth rate ya 7.1%.
Uhamiaji na Kasi ya kuzaana ya Wasukuma imewafanya Wafipa kuwa mateka na Vibarua maana wameuza maeneo Kwa Wasukuma na Wasukuma kama mnavyowajua ni watu wa kubebana/Kushirikiana na wachapa kazi.
Pamoja na athari hizo za kupoteza Kwa hayo makabila Maarufu Kwa utaalamu wa Radi ila ujio wa Wasukuma umeleta maendelea kama ilivyo Kawaida Kwa Wahamiaji.Wamefungua biashara Mpya,Miji imechangamka,wanalima na kuvumbua maeneo mapya ya Kilimo na wanafuga yaani wameleta mifugo Kila mahala kwenye Mkoa wa Rukwa.
Swali.
Je nini kifanyike Ili kutunza Utambulisho wa kabila Fulani na kuondoa dominance ya makabila makubwa?
Maana tunakoelekea msije kushangaa Morogoro,Lindi,Pwani na Ruvuma ikawa ni Mikoa ya kabila Moja la Wasukuma.