OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Hii ndio TZ, Watu wote wachafu hasa viongozi. Si wa kiserikali, kichama wala kidini. Nchi hii haifiki popote, labda aje Malaika kutuongoza. Wizi mtupu. C.C.M. CUF. CDM. WIZI MTUPU.
Hata baba Mwanaasha sio msafi?? uwiii twafaaa!!!!