Wassira: Nililala kwa kuwa nilikunywa Dawa

Huyu mzee anatumia defense Mechanism ya kulaumu Gazeti la Mwananchi ili waonekana wabaya. Awali alitakiwa kulipongeza gazeti hili kwa kutumia TAFSIDA kuficha kipindi chake cha Usingizi Bungeni. sisi tulimuona kwenye TV akiwa amesinzia kabisa wala hana taarifa na mchango uliokuwa unaendelea. Pili angepaswa kukiri kusinzia labda sababu ya UCHOVU na si kutumia wenzake na yeye mwenyewe kulaumu chombo hiki cha habari wakati alikuwa kweli anasinzia. wanaCCM bungeni hupenda sana kutetea hata mambo ambayo wananchi wanayaona si sahihi. Mzee Wasira acha hizo sisi tulikuona kwa macho kabla hata Mwananchi hajakuripoti. Siku mambo Utandawazi watu wamefunguka macho.
 
siku nyingine namshauri atafute miwani myeusi ili kila anapokunywa hizo dawa asionekane amelala mjengoni
bwana wee hakuna miwani wala nini cha msingi wachape kaz km wanajijua wamejizeekea wapishe vijana wa kaz waingie front wafanye mambo ,kama mrema angevaa miwan myeusi af na udenda! Tena wakivaa hizo miwani watajikojolea make watajihisi hawaonekani af watalala kweli itakuwa aibu kubwa,nyie wapiga kura msiwachague viongoz goigoi km hawa km wagonjwa au wazee waende sehem husika
 
uzee mbaya jamani! Wassira alikuwa waziri miaka ya 70 (nadhani nusu ya wabunge wa sasa walikuwa hawajazaliwa!).. Huyu huyu ni waziri miaka 40 baadaye!wassira acha kujidhalilisha - umechoka - nenda musoma ukapumzike kwa amani!
aaaameeen
 
Sleeping on duty haikubaliki wahusika walipaswa kumchukuli hatua sababu alikuwa kazini na bilashaka alilipwa.
 
Back
Top Bottom