Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 47,221
- 32,728
- Thread starter
- #141
Ritz, heshima mkuu..
Ningependa kuchangia thread yako NZURI, lakini kabla ya kufanya hivyo, ningependa kujua definition yako ya msomi/wasomi? Na je, wewe ni miongoni mwao(wasomi)?
Mkuu hippocratessocrates,
Tunapoengelea "usomi" wa utawala unaitaji elimu ya chuo kikuu ili kuweza kufahamu sheria za mikataba na mambo ya utawala, Mkuu wewe ni msomi kwenye fani yako ya udaktari huwezi kuwa mtaalamu wa tiba bila kuwa msomi wa fani hiyo.
Kuna usomi wa mazingira ni mtu yeyote mwenye uwezo wa kuyamiliki mazingira yanayomzunguka kwa ajili ya maendeleo yake na jamii yake kwa ujumla.
Mkuu ukiangalia mikataba inayoingiwa na wanasheria wetu ambayo ni wasomi inasikitisha sana mfano Chenge alivyokuwa mwanasheria wa serikali kapewa hiyo nafasi kutokana na usomi wake.
Last edited by a moderator: