View: https://youtu.be/0UZFmqxo2AY?si=2Q43Jp6nYxZ0pW5U
Hadi gavana hajui sababu ya matatizo ya $? Auibu
Mwenyekiti wa Chama cha watalii Tanzania, Wilbard Chambulo, amesema kuwa dollarization ipo zaidi serikalini na inasababisha watu wa wengine wadai dola. Amezungumza hayo baada ya Gavana wa Benki Kuu, Emmanuel Tutuba kuwataka wenye hoteli kutumia shilingi badala ya dola.
Chambulo amemwambia Gavana kuwa serikali inaokea tozo na kufanya usajiri kwa dola, hivyo inaleta ugumu kwa wao kutumia shilingi kwenye hoteli na sekta ya utalii kwa ujumla.