Kwanza napenda kusema kuwa nimefurahishwa sana na DK Slaa kugombea Urais, yaani siwezi kuelezea furaha yangu.
Kwanza nimewaambia ndugu zangu wote kama kumi na zaidi KURA kwa Dr Slaa.
Ila nina wasiwasi na hila za ccm, wasije kusema ameanza kampeni- wakamchongea kwa Tendwa na NEC.
Pia naongelea kuhusu Mgombea Ubunge Jimbo La Arusha. Sijui kuna mgombea gani anaeaminika, asiyenunulika. Naogopa isije akawa kibaraka wa ccm, akaja kujitoa baadae ili kumuachia mmbunge wa ccm ashinde.
Naomba ufafanuzi wa kisheria ili hofu yangu iondoke
Kwanza nimewaambia ndugu zangu wote kama kumi na zaidi KURA kwa Dr Slaa.
Ila nina wasiwasi na hila za ccm, wasije kusema ameanza kampeni- wakamchongea kwa Tendwa na NEC.
Pia naongelea kuhusu Mgombea Ubunge Jimbo La Arusha. Sijui kuna mgombea gani anaeaminika, asiyenunulika. Naogopa isije akawa kibaraka wa ccm, akaja kujitoa baadae ili kumuachia mmbunge wa ccm ashinde.
Naomba ufafanuzi wa kisheria ili hofu yangu iondoke