Waziri Wasira yupo live TBC1 kwenye kipindi cha tuambie akiambatana na Mwanasheria mkuu wa serikali, mada kuu mchakato wa katiba yenye utapiamlo
Werema anaweza kujibu ni kwa nini huo mswaada uliondolewa? Huu utetezi anaoleta TBC kwa nini haukupeleka bungeni ili usiondelewe au hakuwepo bungeni wakati unaondelea?. Na Kwa nini kwenye hiki kipindi cha TBC asiwepo mwakilishi kutoka upande wa pili wa shilingi mfano, Pro. Shivji, Pro. Maina au hata mwanasiasa mwenzao Lissu ili tupate hoja iliyokamilika.
Wassira ana utaalam gani kwenye miswada ya katiba? Hivi ni lini hawa morons watakubali kwamba watanzania wa leo si wakulisha matapishi?
Hivi hawa wanaumwa nini mbona nyuso zao zimevimbavimba
wasira sijamsoma kabisa mswada ulishaondolewa bado anautetea inavoonekana mswada utachakachuliwa na kurudiswa ureure wapo kutuanda wadanganyika
Waziri Wasira yupo live TBC1 kwenye kipindi cha tuambie akiambatana na Mwanasheria mkuu wa serikali, mada kuu mchakato wa katiba yenye utapiamlo
Wanaongea kiswahili, lakini hawaeleweki kabisa.
Ni ngumu sana kujustify upuuzi kama ule uliomo kwenye muswaada
Werema Anasema rais hatarundika wanaccm kwenye tuma, na amesema mf dr Shivji aliwahi kuongoza tume ya ardhi. Kama wanaubavu wame Shirvji na hii nadha watz wanamkubali.