Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 923
- 4,308
Ni zipi faida za wasiojulikana kwenye Taifa kama Tanzania hasa upande wa kukuza uchumi?
Nchi kama Tanzania inanufaikaje inapokuwa na watu wasiojulikana? Wakubwa watabaki salama endapo wasiojulikana wameamua kukaa kimya?
Kama wamezihifadhi nafsi za watu wasijulikane walipo, je wameshiba damu au wanatafuna Kwa style nyingine? Haipo siku Hali itabadilika wakapewa mamlaka ya kufanya yasiyojulikana? Watapewa ruhusa? Na Nani?
Nchi kama Tanzania inanufaikaje inapokuwa na watu wasiojulikana? Wakubwa watabaki salama endapo wasiojulikana wameamua kukaa kimya?
Kama wamezihifadhi nafsi za watu wasijulikane walipo, je wameshiba damu au wanatafuna Kwa style nyingine? Haipo siku Hali itabadilika wakapewa mamlaka ya kufanya yasiyojulikana? Watapewa ruhusa? Na Nani?