mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 759
naonaga watu walio online namba ya wasio members kubwa kuliko ya walio memba
mara nyingi ni over *10, sasa why wanapewa ruhusa kwenye mengi kama list ya public forum iejaa kila kitu
mie naona waonjeshwe kidogo machache then wajiunge kama sie na sio copy & paste bile kuwa memba
au unasemaje muhusika?
mara nyingi ni over *10, sasa why wanapewa ruhusa kwenye mengi kama list ya public forum iejaa kila kitu
mie naona waonjeshwe kidogo machache then wajiunge kama sie na sio copy & paste bile kuwa memba
au unasemaje muhusika?