Wizzo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 723
- 255
habari za kuaminika kutoka kwa jamaa angu ambaye ni msimamizi wa votuo vya kupigia kura amenambia wamegawiwa masanduku ya kupigia kura usiku huu na wameambiwa ni lazima walale kwenyw vituo vya kupigia kura na masanduku yao
MAY TAKE:
Je ni sawa kwa wasimamizi kulala na masanduku ya kupigia kura kituoni usiku mzima mpaka kesho?
au kuna ratiba ya watu kuwatembelea usiku vituoni kwa ajiri ya kuchakachua?
MAY TAKE:
Je ni sawa kwa wasimamizi kulala na masanduku ya kupigia kura kituoni usiku mzima mpaka kesho?
au kuna ratiba ya watu kuwatembelea usiku vituoni kwa ajiri ya kuchakachua?