logician mkuu
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 792
- 221
Alikuwa mwalimu mzuri sana wa uchumi kuanzia late 1990s mpaka mid 2000s kabla ya kuchukuliwa na World Bank kama Senior Macro Economist wao.
Alikuwa anafundisha Microeconomics, Macroeconomics (kwa mwaka wa pili) na Public Finance kwa mwaka wa tatu, na kozi za MA.
Hili la Public Finance hasa linahusika na majukumu yake mapya.
Alikuwa anafundisha Microeconomics, Macroeconomics (kwa mwaka wa pili) na Public Finance kwa mwaka wa tatu, na kozi za MA.
Hili la Public Finance hasa linahusika na majukumu yake mapya.