Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,950
- 4,390
Anae kijana mwingine mkubwa yuko uko bukoba alimpata enzi za ujana wake,hawa wawili amewazaa akiwa kwenye ndoa.
Ana binti anasoma MBA hapo UDSM!
Anae kijana mwingine mkubwa yuko uko bukoba alimpata enzi za ujana wake,hawa wawili amewazaa akiwa kwenye ndoa.
Kwahiyo kuulizia kwann mtu kaanza darasa la kwanza na miaka 12 hiyo ni discrimination? Maajabu haya!Nimeongelea age discrimination uliyofanya hapo juu, sasa wewe na hyo yako hutakaa umfikie
Kweli aisee!Ana bahati Sana cv yake ya kawaida Sana, hana hata experience ya kimataifa
Mwonee huruma mwanamke mwenzio..sio kwa style hyo mamaaa carihaAge ni Numbers tu pia ana achievement kubwa ambayo wewe hutakaa umfikie
Maajabu yepi ww uliyewahi kumaliza la saba unadanga danga na kiajira chako cha tulakiKwahiyo kuulizia kwann mtu kaanza darasa la kwanza na miaka 12 hiyo ni discrimination? Maajabu haya!
Ngoja tuwaachie uzi basi..Kwahiyo kuulizia kwann mtu kaanza darasa la kwanza na miaka 12 hiyo ni discrimination? Maajabu haya!
Yes ni discriminationKwahiyo kuulizia kwann mtu kaanza darasa la kwanza na miaka 12 hiyo ni discrimination? Maajabu haya!
Shahada zake zote amepatia UDSM!!! Hana exposure; too localized!! Ngeli inapanda kweli?Ana bahati Sana cv yake ya kawaida Sana, hana hata experience ya kimataifa
Kwanini alichelewa sana kuanza darasa la kwanza? Miaka 12! At this age mimi ndiyo nilikuwa namaliza darasa la 7.
Kwani wewe ni muhenga wa enzi za kugusa sikio ndio upelekwe shule?Kwanini alichelewa sana kuanza darasa la kwanza? Miaka 12! At this age mimi ndiyo nilikuwa namaliza darasa la 7.
Nipe aina nyingine za discriminationYes ni discrimination
Ana bahati Sana cv yake ya kawaida Sana, hana hata experience ya kimataifa
Kwanini alichelewa sana kuanza darasa la kwanza? Miaka 12! At this age mimi ndiyo nilikuwa namaliza darasa la 7.
Sababu ya kuchelewa kuanza shule inawezekana mazingira ya Kijijini kwao,labda alikuwa anatakiwa kuchunga ng'ombe kwanza.
Kuna msaidizi mmoja wa Nyerere alienda Bwiru kuanza kidato cha kwanza akiwa nyumbani kwao kaacha mke.
Zamani ilikuwa kawaida.
Rais Muhaya!!! Sidhani.Aisee msishangae huyu ndo akawa Rais ajaye. Siku hizi mambo ni upside down!