Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
h hahahaa,hii mada ikiisha kuna mdau atakuja na thread ya majamaa wazuri east Africa!lol
Hivi boss, urembo upo kwenye ukabila? nataka kujua maana point yako ya kuoana oana kuchanaganya uzazi wa kikabila nchini ni sababu nzuri ila eeh, hebu nipe hints kidogo kama kabila lipi na lipi wakiktuna wanatoa kitu cha ukweli. Nataka kujua.