gari gari tu mradi sipandi daladala lohMimi sina uchoyo wa dushe njoo nikupe au mpaka gari liwe la namna gani? maana mimi nina kadogo dogo tu.
wale wanao vaa mikato fulani we na magauni yako ya vitenge marefu wanashindwa kupima lita .. lazima uwe wa kujiacha acha fulani... hahaa we subiria tu uje ununue gari na mumeoWanaume nao wabaguzi km nin akishakua na kigari anataka mwanamke wa class flani hivii amazing,
mvuto wa asiliIla kweli jamani..unakuta kila ukikatiza kitaa warembo wanakodoa macho...ukisimama ukashusha kioo anajileta mwenyew kama mbwa kwa chatu...taratiiiibu
hivi wanaume wanaopambanua mambo kihiiivyo (21c) wanapatikana makumbusho yapi??wala usiwalaumu sana Mungu ndo aliyewaumba hivyo. Embu fikiria wangepewa akili za kupambanua mambo kwa ufasaha zadi kama walivyo wanaume vileee, unafikiria wewe ungepata kigegedeo wapi.
NB: Uongo wa mganga ndo nafuu ya mteja
Nimekupenda kwa kuwa mkweli na muwazi......Unayosema ni kweli kabisa. Lkn umesahau kuwa na nyie mnarubuniwa sana na wadada...sijui ni kwa uzuri wao au ni tamaa zenu. Madem wanaliwa sana...wanaume wanawala sana madem. Kama kuna magonjwa anayeliwa na anayekula wote wanapata. Hakuna tofauti kabisa. Kinachowafanya mdumbukize dyudyu zenu kwa hawa madem ni nini? Mliwa na mlaji wote wale wale.
Jua kali sana siku hizi jamani.
umeamue uje kuntangaza humu?Wacheni tu wajirahisishe, hakuna apendae shida. Kuna mwanamke mmoja sitomtaja jina, humu humu Jamiiforum, ni mzuri sana sana aiseee... ilikuwa robo nimgonge ndani ya gari.
Duh....kuna mmoja humu kasema yeye hahitaji gari ana pesa tu mfukoni.Pesa za kufa mtu afu unatumia daladala za Dar?please,labda hela zako za masharti ya kichawi
Na wanawake nao wabaguzi sisi tusio na magari hatuwapati hao class flani amazingWanaume nao wabaguzi km nin akishakua na kigari anataka mwanamke wa class flani hivii amazing,
Yani wengine hawana maana smtym,Acha watafte kwa jasho tuvifaidi mana hamna namnaawale wanao vaa mikato fulani we na magauni yako ya vitenge marefu wanashindwa kupima lita .. lazima uwe wa kujiacha acha fulani... hahaa we subiria tu uje ununue gari na mumeo
Hehehhe full kubaguana km India vileNa wanawake nao wabaguzi sisi tusio na magari hatuwapati hao class flani amazing
Hahahaa inabidi tu muanze kuyajua madereva wapunguze kutugongea dada zetu,ukiwakuta kwenye mashangingi sasa utadhani ya kwaoHahahaaaaa! Wenzio hatujui magari ya serikali ni yapi na ya binafsi ni yapi, ilimradi gari tu basi inatosha.
Naielewa sana hio kitu,nikiona mwanamke anaendesha namkubalisasa nimekusoma vizuri brenda lakini kiukweli baadhi ya wadada huwa hawajali kama gari ni private au la serikali wao ilimradi liwe gari tuu..
nimekuelewa vizuri ulipotaja Ford F-150 na Discovery naamini hata Defender unaielewa vizuri
Hahaha dooh,inashangaza kwakweli...Kuna men mmoja ana gari aina spacio, huyu mtu ni limbuken ajabu, alikuwa akijaga home akishuka Na gari nje basi anaanza kuinyoosha nyoosha au kufutafuta Na kubonyeza bonyeza tairi yaani ili mradi tu, nilikuja kumpiga maruku kukanyaga kwangu, maana ni aibu
ndiyo maana yake sisi tusubirie kivulini tuYani wengine hawana maana smtym,Acha watafte kwa jasho tuvifaidi mana hamna namnaa
Hivi jamani ya serikani si yanakuwa na plate number za serikali kabisa, sasa washindwa nn kutofautisha? Ila difender duuuuhHahahaa inabidi tu muanze kuyajua madereva wapunguze kutugongea dada zetu,ukiwakuta kwenye mashangingi sasa utadhani ya kwao