Washa Na Kuzima taa au mshumaa kwa nguvu ya fikra

Nani anajua kuhusu Pendulum? Kifaa ambacho kwa kutumia nguvu ya fikra unaweza kukifanya kika move forward and backward, side to side na kufanya clockwise circle.

Hutumika kujibu swali lolote unalouliza kwa kutoa ishara ya jibu la Ndio au Hapana. Unaweza kutumia kutafuta kitu au mtu aliyepotea.
Unazungumzia Pendulum au Pendulum Bob?
 
Kuna jamaa yangu baada kuveshe mi kvant na safari akaona redio inampigia kelele! Alikua ana ipuliza na mdomo ili izime
 
6b25f7a8d3959c9c1113b13695d2bc9a.jpg

Je, Unataka Kupima Nguvu Zako Za Ziada? Mind power? Fanya hivi:
Mahitaji:

1: Sauti Iliosawia Ya Kwako
2: Taa au Mshumaa

Fuata Yafuatayo Utaweza Kuwasha Na Kuzima Mshumaa Kwa Nguvu Ya Fikra Yako...

Maneno Utakayo Taja Nimeyaandika Kiherufi Za Kukaza Na Kuvuta Ziweze Kuachia Nguvu Ya Ndani Yako

Jinsi Ya Kufanya:
Tafuta Mahali Palipo kimya Kabisa Ukifanya Kwenye Fujo Itachukua Muda Mrefu Kufungua Power Zako..

Hii anaweza Kufanya Mtu Yoyote Hata Ambae Hajawa Deep Na Nguvu Zake Za Ziada...

Anza Kwa Meditation Kwa Wale Wanaofanya Meditation Japo Kuwa Sio Lazima..
5a41a7c2cc803e000767c63809c2ac9b.jpg

Tizama Taa Au Mshumaa Wako Kwa Sekunde 20... Hakikisha Unahisi Mahusiano Kati Yako Na Taa Yaani Ujiweke Kuwa Unauwezo Wa Kuendesha Mwanga...

Sasa Sema Maneno Haya:

"Ic Beh? F? Es i? Oht? T cierr on/? Cyrf, gesc? Adnes hit n? Hand mec l? Gel? Oht sw? C?? Hit b? On!"

Jinsi Ya Kutaja:
Ic -ick
Es -bes
T? -et
Cierr -cierr
Mec - mek
Oht -lot
Sw? -swar

Maana Yake Ni:

Nahitaji Hii Taa Iwake/Izime Nipe Mwanga/zimika... ZIMA AU WAKA...

Jitahidi Usikosee Ukikosea itabaki Hivyo Hivyo... Na inaweza kuchukua muda

"This Is The Easy Way To Prove That You Have Powers"
By

Kwa haya na mengineyo:
Tembelea:

Rakims
Ugonjwa wa akili dhahiri ni tatizo....
 
and then followed what the evil ones falsely attributed to the Kingdom of Solomon

104 even though Solomon had never disbelieved; it is the evil ones who disbelieved, teaching people magic. And they followed what had been revealed to the two angels in Babylon – Harut and Marut – although these two (angels) never taught it to anyone without first declaring: “We are merely a means of testing people; so, do not engage in unbelief.”

105 And yet they learned from them what might cause division between a man and his wife.
 
and then followed what the evil ones falsely attributed to the Kingdom of Solomon

104 even though Solomon had never disbelieved; it is the evil ones who disbelieved, teaching people magic. And they followed what had been revealed to the two angels in Babylon – Harut and Marut – although these two (angels) never taught it to anyone without first declaring: “We are merely a means of testing people; so, do not engage in unbelief.”

105 And yet they learned from them what might cause division between a man and his wife.
"... teaching people magic"
 
Back
Top Bottom