Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,997
- 94,579
Naona umemvuwa chupi kabisa kwisha habari yake.Acha uongo! Chorus ya wimbo wa kigetogeto remix ilifanywa na Mr Paul na sio Majani kama unavyotaka kupotosha. Pia wewe unasema Majani kaimba nyimbo nyingi halafu kila siku unatutajia wimbo huo huo mmoja alioshirikishwa na Madee, nataka ututajie hizo nyimbo nyingi unazodai kaimba ukiacha zile nilizotaja mimi, ni zipi?