mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
Mtuhumiwa mahui na kijana mmoja wa Darasa la sita (Mwanza)wanatuhumiwa kwa kumvisha Mbwa Sare ya Chama,Ambapo baada ya wafuasi wa CCM kumuona Mbwa huyo walimkimbiza kwa takribani Lisaa limoja na kufanikiwa kumkamata kisha kumvua sare hizo...ME SIONI TATIZO KUMVISHA MBWA NGUO ZA BINADAMU