Son of Alaska
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 2,812
- 1,054
SIASA zetu bana,dunia ya kwanza mbwa anathamani sana,yaani hapo kwa sehemu zingine yaani ndio umempa kura kikwete,lakini poor me kumbe kwa tanzania ni kashfa!!!!!!!!
Where is freedom of expression? Kama mtu anasema "mimi na nyumba yangu wote CCM, hata mbwa wetu CCM" ashindwe kuji express?
sasa kosa lao ni lipi? kama mbwa wao alikuwa anasikia baridi wakaamua kumsitiri tatizo ni nini? hao police hawana kazi za kufanya hadi waishie kufatilia kesi za kihivyo?
Nami sioni kama kuna sababu ya kuhangaika....!fundisho tosha!
This is how I looked at this issue Kiranga........yaani hapa tunaswing kwenye frequency moja.Where is freedom of expression? Kama mtu anasema "mimi na nyumba yangu wote CCM, hata mbwa wetu CCM" ashindwe kuji express?