Nu yok siti kuna vituo zaidi ya 400 hii imekaaje mtaalamu?Wewe kama mtaalamu wa hayo masomo ulitakiwa utoe ufafanuzi wa kina badala ya kutaja terminologies na classmates wako.
Mimi kama kilaza wa mambo ya radio frequency ngoja nieleze kwa kutumia ukilaza wangu. Radio frequencies kwa Tanzania nadhani zitakuwa zinaanza palepale ambapo sehemu nyingi duniani huwa zinaanza. Kuanzia 88.0MHz hadi 108.0MHz.
Sasa kati ya hizo frequency modulation (FM) radio stations, inabidi kuwepo na space ya 0.2MHz kuzuia kuingiliana kwa sauti maana frequency mfano redio ikiwa 89.7 unaweza isikia kwa kelele ukiweka 89.6 au 89.8, isingekuwa wanaacha nafasi kidogo basi redio zisingekuwa zinasikika vizuri mwenye transmitters kubwa ndio anasikika na mwingine anakuwa na noise. Hii issue hutumika kwenye jamming tukienda mambo ya usalama.
Na kuna sababu kwanini redio kongwe na kubwa kubwa zote zina frequencies chini ya 92MHz, alafu redio uchwara zile za sijui nani mkusanya sadaka ziko kwenye 102 na kupanda.
Therefore, nashawishika kuamini kuna watu walinunua frequencies za mwanzo nzurinzuri wakakaa nazo ilimradi wanazilipia TCRA. Hilo suala la kukosa mapato ni la TRA. Btw hii ni banana republic lolote linawezekana.
Hakuna mtu ataanzisha redio kubwa alafu frequency iwe 107.8, atabidi abanane na hawa 88, 89 uko. Na ndipo ataenda kununua kwa waliohodhi.
Alafu kukusanya umbea wa uhakika kwa vyanzo tofauti nadhani ni kazi sana. Badala ya kuja kuattack mleta taarifa kwamba muongo ingefaa expert wa fani yake aje na maelezo ya kushiba kujazia au kukosoa hoja. Badala yake mnachambua vipointi mnamuita mtu mwongo na wala hakuwa na intention ya kuongopa.
Swala la jina la media limebadilishwa hivi karibuni nasikia kulikuwa na mgongano wa jina na kituo kingine chenye usajiliTaarifa Yako upo sahihi ila kwenye Jina la media tu umeteleza kidogo kama ni marks nakupa 85%
Hahhahaha aiseee jf kuna wehu sana usipo lijua hilo unaweza kutamani kutoingia tena 😂😂😂😂😂😂😂Wewe binti uliyeleta huu uzi unapokosolewa uwe unakubali kukosolewa na sio kupenda kufuga ujinga,kama wewe sio mleta uzi basi acha kujipendekeza,sitaki kunywa maji nataka nikutafune wewe.
Nimebisha kitu gani? kiko wapi kitu gani? be specificHahhahaha aiseee jf kuna wehu sana usipo lijua hilo unaweza kutamani kutoingia tena 😂😂😂😂😂😂😂
Umebisha weeee kiko wapi
Naam, Kings lilishapitishwa maana walitaka lifanane na jina la Label yake Ali Kiba Kings Music ila ndio hivyo tena.Swala la jina la media limebadilishwa hivi karibuni nasikia kulikuwa na mgongano wa jina na kituo kingine chenye usajili
Mkuu ni kweli kabisa unayo yasema! Nimekosa nimekosea sana sana!🤪🤪Nimebisha kitu gani? kiko wapi kitu gani? be specific
Inaonekana umevamia tu mjadala ili kujipendekeza kwa mleta mada,wala hujui issue ni nini hasa.
Mkuu 😂😂Wewe unalifahamu upande wa ubuyu,mimi na lifahamu upande wa Technical side.
Anti monopoly law ya US haiwezi ruhusu moguls kununua frequencies na kuzitunza. Ingekuwa hivyo matajiri wa zamani na warithi wa ubabe wa hiyo industry kina Rupert Murdoch na Michael Bloomberg wangekuwa wamiliki wao peke yao.Nu yok siti kuna vituo zaidi ya 400 hii imekaaje mtaalamu?
Jamaa walipofikia redio sio lazima zirushe kupitia masafa haya ya analogia kama FM wengi wapo kidigitali zaidi redio nyingi unazipata kupitia satellite na nyingine kupitia internet na njia nyingine za kidigitali,,huku redio upande mkubwa bado zipo analogiaNu yok siti kuna vituo zaidi ya 400 hii imekaaje mtaalamu?
While it might sound kama ni mawazo ya kitaalamu.....Wewe kama mtaalamu wa hayo masomo ulitakiwa utoe ufafanuzi wa kina badala ya kutaja terminologies na classmates wako.
Mimi kama kilaza wa mambo ya radio frequency ngoja nieleze kwa kutumia ukilaza wangu. Radio frequencies kwa Tanzania nadhani zitakuwa zinaanza palepale ambapo sehemu nyingi duniani huwa zinaanza. Kuanzia 88.0MHz hadi 108.0MHz.
Sasa kati ya hizo frequency modulation (FM) radio stations, inabidi kuwepo na space ya 0.2MHz kuzuia kuingiliana kwa sauti maana frequency mfano redio ikiwa 89.7 unaweza isikia kwa kelele ukiweka 89.6 au 89.8, isingekuwa wanaacha nafasi kidogo basi redio zisingekuwa zinasikika vizuri mwenye transmitters kubwa ndio anasikika na mwingine anakuwa na noise. Hii issue hutumika kwenye jamming tukienda mambo ya usalama.
Na kuna sababu kwanini redio kongwe na kubwa kubwa zote zina frequencies chini ya 92MHz, alafu redio uchwara zile za sijui nani mkusanya sadaka ziko kwenye 102 na kupanda.
Therefore, nashawishika kuamini kuna watu walinunua frequencies za mwanzo nzurinzuri wakakaa nazo ilimradi wanazilipia TCRA. Hilo suala la kukosa mapato ni la TRA. Btw hii ni banana republic lolote linawezekana.
Hakuna mtu ataanzisha redio kubwa alafu frequency iwe 107.8, atabidi abanane na hawa 88, 89 uko. Na ndipo ataenda kununua kwa waliohodhi.
Alafu kukusanya umbea wa uhakika kwa vyanzo tofauti nadhani ni kazi sana. Badala ya kuja kuattack mleta taarifa kwamba muongo ingefaa expert wa fani yake aje na maelezo ya kushiba kujazia au kukosoa hoja. Badala yake mnachambua vipointi mnamuita mtu mwongo na wala hakuwa na intention ya kuongopa.
Usihangaike bro wanapenda story za mond kufeli, maisha ya waAfrika hasa wabongo yana chuki sana bro.Dada yangu hilo eneo ni field yangu japo sasa nafanya kitu kingine, ila ninacho kizungumza na kijua theoretical mpaka mathematical.
Wewe kama unakubali kudanganywa ni ww, ila Frequency moja haziwezi kuisha wala kuwa mali ya mtu,anaye zimiplan,kuzicontrol,kuzimonitor,kuzimiliki na kuengineer ni TCRA.
Unanikumbusha masafa ya short wave kijijini kupitia radio mkulima ambapo tulikuwa tunaipata Deutsch Welle.Anti monopoly law ya US haiwezi ruhusu moguls kununua frequencies na kuzitunza. Ingekuwa hivyo matajiri wa zamani na warithi wa ubabe wa hiyo industry kina Rupert Murdoch na Michael Bloomberg wangekuwa wamiliki wao peke yao.
Na kati ya hizo 400+ unazosema, nyingine nyingi sio FM ambao ndio mjadala wetu hapa.
Pia Marekani wanaweza kuwa na radio stations hata nne kwa frequency moja, na hawapishani sana kwenye frequency mambo ambayo hapa nchini hamna. Alafu NYC kuna stations nyingi sana dedicated only for something kama redio ya kucheza reggae tu, country tu.
NB: Nimekataa kuitwa mtaalamu.
107 ni sawa na viwanja vya mabwepande au kisemvule au kimanzichana halafu 88.0 hadi 90 mwanzoni hapo ni sawa na viwanja vya katikati ya mji kama upanga au mikocheni.Usihangaike bro wanapenda story za mond kufeli, maisha ya waAfrika hasa wabongo yana chuki sana bro.
Unafikiri habari kama hii naamka tu asubuhi kuandika? Na kwani wakionekana pamoja kuna ubaya gani?
Halafu wewe mwenye thinking capacity kubwa uko hapa kumsoma mwenye capacity ndogo!
Umetumia akili ya kuvukia barabara kwenye mfano wa UFM, nishalitolea maelezo humu. Akili kubwa wenyewe washaelewa kwanini UFM iko hizo frequency.While it might sound kama ni mawazo ya kitaalamu.....
Lakini maeneno mengi umetupiga kamba.
Naomba nitumie mfano mmoja wa UFM, radio ya Azam media.....
Frequency zake ni 107 kwa Dar 96+ kwa mikoani....
Vipi nayo ni redio ndogo?