Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,132
- 22,384
Watanzania kadhaa wasiowaaminifu wamekuwa wakiuza gesi isiyo halali nikimaanisha gesi ilio chini ya uzito wake
Zoezi hili limeanza miezi minne iliopita kuna watu wasiowaaminifu wananunua mtungi mkubwa mrefu, wanachukuaa mitungi midogo na kujaza na pipes majumbani mwao,seal wanashirikiana na watu wasio waaminifu kufunika pale juu.
Unaponunua mnunuaji mkuu n ngumu kujua unless kama utaanza kupima mzigo mmoja baada ya mwingine
mbaya zaidi baadhi ya mitungi huwa wanaweka maji ndani via pipes, ili mtungi uweze kujaa/ndio maana kuna baadhi ukiwasha jiko, jiko aliwaki ila mtungi ukitikisa unasikia bado kuna kitu ndani.
Vijana hawa wamekuwa wakifanyia shuhuli hizi kwenye nyumba zao moja iko kimara mwisho na nyingine iko karibia na kituo kikuu cha mbezi mwisho, nisingependa kuweka wazi maana wako kwenye uchunguzi ila kukusaidia wewe unaenunua mzigo wa jumla namba zao zinaishia na 042,072.
Huwa wanatembeelea na hivi vigari vya mizigio vidogo vyeupe vikiwa na chuma kwa nyuma.
Matumaini utakuwa muangalifu kwa hili kukusaidia kuondokana na makeelele ya wateja..wazo tu akikisha anaekultea anakuletea toka kituo cha gesi kinachojulikana hili litakusaidia ikiwa kuna shida yoyote ni rahisi sana kukubadilishia.
Nawatakia biashara njema ya gesi wote.
Zoezi hili limeanza miezi minne iliopita kuna watu wasiowaaminifu wananunua mtungi mkubwa mrefu, wanachukuaa mitungi midogo na kujaza na pipes majumbani mwao,seal wanashirikiana na watu wasio waaminifu kufunika pale juu.
Unaponunua mnunuaji mkuu n ngumu kujua unless kama utaanza kupima mzigo mmoja baada ya mwingine
mbaya zaidi baadhi ya mitungi huwa wanaweka maji ndani via pipes, ili mtungi uweze kujaa/ndio maana kuna baadhi ukiwasha jiko, jiko aliwaki ila mtungi ukitikisa unasikia bado kuna kitu ndani.
Vijana hawa wamekuwa wakifanyia shuhuli hizi kwenye nyumba zao moja iko kimara mwisho na nyingine iko karibia na kituo kikuu cha mbezi mwisho, nisingependa kuweka wazi maana wako kwenye uchunguzi ila kukusaidia wewe unaenunua mzigo wa jumla namba zao zinaishia na 042,072.
Huwa wanatembeelea na hivi vigari vya mizigio vidogo vyeupe vikiwa na chuma kwa nyuma.
Matumaini utakuwa muangalifu kwa hili kukusaidia kuondokana na makeelele ya wateja..wazo tu akikisha anaekultea anakuletea toka kituo cha gesi kinachojulikana hili litakusaidia ikiwa kuna shida yoyote ni rahisi sana kukubadilishia.
Nawatakia biashara njema ya gesi wote.