Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,109
- 173,913
Huyu mzee ujaji hajamaliza tu ๐ ๐ ๐ ??? Kila siku ye ni jaji tu!?
Huyu mzee ujaji hajamaliza tu ๐ ๐ ๐ ??? Kila siku ye ni jaji tu!?
Nimeuliza tu sina maana mbaya mzee๐ ๐ ๐Ujaji unahusiana vipi na alichoongea!? ๐ณ๐ณ๐ณ
Nimeuliza tu sina maana mbaya mzee๐ ๐ ๐
Namna ambavyo ameongea huyu mzee ndio ambavyo Mbowe na genge lake walitakiwa waoneshe ukomavu wa aina hii sio kutoa maneno ya sokoni kwenye midia๐Msimamo THABITI wa Mzee Warioba kuhusu madai ya Katiba mpya ndiyo sababu kama Waziri Mkuu Mstaafu hakujumuishwa katika ule msafara wa wastaafu wenye UNAFIKI katika kudai katiba mpya. Mwenyezi Mungu akupe afya njema na maisha marefu ili hivi karibuni ushuhudie matunda ya Tume yako.
Aah pelekesha ujinga mbele Bavicha ww yani huwaga hamtofautianagi akili kabisa!Nani alikwambia mimi ni Mzee!? ๐ณ๐ณ๐ณ
Kwa huyu mzed haiwez tokea! Ni zao la CCM mama ana aibu kidogoWatambambikia kesi chokochoko zake ni UCHOCHEZI wa kutaka kuleta vurugu nchini hivyo kupewa house arrest 24/7 au hata kutupwa lupango.
Itakuwa na upuuzi fulani. Tume ya katiba ya Warioba iliundwa na CHADEMA? Au wakati wa Tume ya Katiba ya Warioba ulikuwa chekechea?Nchi ngumu hii,
Watu wanataka kubadili Katiba ambayo hata hawaifahamu...
Na mshaambiwa na kwenye hotuba ya Rais...hiyo ni kuleta' chokochoko na ni kuleta uvunjifu wa amani... naona tunarudi kulekule.... kazi iendelee.kudai katiba ni unafiki? be serious
Haya ndiyo unaona ni kero za wananchi? Basi?Kipengele kimojawapo cha katiba ni wabunge wa viti maalum. Katiba mpya inapaswa kuondokana na wabunge wote wasiochaguliwa na wananchi...
Mazingira yana badilika acha kukariri wewe, mbona jiwe alisema hakuna corona leo maza anasema ipo, kwanini hakujihuzulu kipindi cha jiwe na wakati corona ilikuwepo?Hapa ndipo ujinga wetu waTz ulipo mtu akitaja tu katiba ni lazima irekebishwe tayari wanamuamini...
CCM wamegeuza nchi ni mali yao, huyu maza kama hataki katiba mpya arudi kwao ZanzibarAmbaye hataki kusikiliza matakwa ya wananchi ya kupata katiba mpya, ni mwovu na anahatarisha amani ya nchi.
Wakati wa Tume ya Warioba, wananch walisema wanataka katiba mpya.
Huyu Mzee nae msaka tumbo tu na mbona hakuonekana SGR na wenzake na mamviAliyekuwa mwenyekiti wa Tume ya Katiba mpya Jaji Warioba amesema wananchi hawa wanaoitwa " Wanyonge" ndio wenye nchi.
Warioba amesema Rais Samia amesimama imara kwenye utendaji wake baada ya kifo cha hayati Magufuli na amekubali kushughulikia suala la katiba mpya...
Sumaye ulimuona?Huyu Mzee nae msaka tumbo tu na mbona hakuonekana SGR na wenzake na mamvi
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Kila jambo na wakatiHapa ndipo ujinga wetu waTz ulipo mtu akitaja tu katiba ni lazima irekebishwe tayari wanamuamini.
Huyu warioba kaishi na hito katiba kwa muda mrefu na ameitumikia kwanini hakujiuzuru kuwa katiba haifai?...
Kila zama na nyakati zake. Ni muda muafaka wa katiba mpya na hilo kila mtu analiona hata waliokuwa viongozi kipindi cha nyuma. Hivyo Warioba ana haki ya kusema kuna umuhimu wa katiba mpya sasa. Hili halikwepeki.Hapa ndipo ujinga wetu waTz ulipo mtu akitaja tu katiba ni lazima irekebishwe tayari wanamuamini.
Huyu warioba kaishi na hito katiba kwa muda mrefu na ameitumikia kwanini hakujiuzuru kuwa katiba haifai?...
Na wewe nae eti ni Mwanasheria,duh kweli nchi hii ina wasomi wajinga wengi.Nchi ngumu hii,
Watu wanataka kubadili Katiba ambayo hata hawaifahamu...
Kama ni kweli vuguvugu la katiba mpya lilianzia CHADEMA, na watawala wakaanzisha mchakato wa katiba mpya CHADEMA wapewe tuzo.Nchi ngumu hii,
Watu wanataka kubadili Katiba ambayo hata hawaifahamu...