FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
Dini
Ni mfumo wa maisha ambao mwanadamu wamejiwekea kuhisi kupitia mfumo huo.Katika dini kunahusisha imani ya mtu pia.
Historia ya dini:
Islam
Uliletwa na waarabu katika pwani ya africa mashariki na baadhi ya maeneo wakiwa na lengo moja kusambaza mfumo wao wa kuishi pia kupata bidhaa kutoka kwa machief wetu waarabu hawa ndo waliendesha slave trade kuuza mababu kwenda ulaya kufanya kazi zenye ujira mdogo na mateso makubwa.
Ukistro:
Ulianza kuenea africa mashiriki baada ya kuingia kwa wa missionaries ambao walingia ndani zaidi ya nchi nyingi za Africa mashariki.hawa pia walikuja kufanya biashara na kutafuta madini
Kwahiyo tunaona kila dini ililetwa kwa malengo fulani dini ilikua kama sababu tu kukutanisha watu fulani.
Udini Tanzania:
Udini tanzania upo na tusijidanganye haupo kuna dini moja inalalamika kua kuna mfumo unaibeba dini nyingine toka kitambo sana.
Mfumo kristo:
Baadhi ya waislam wanadai kuna mfumo huu tanzania wanalalamika hawajapewa fursa kwenye Elimu,Afya,Uongozi,Utawala.
Lakini suala la kujiuliza je ni kweli tanzania kuna mfumo kristo na je kama upo tunafanyaje kuuondoa ili sehemu nyingine wasilalamike.
Suala la Kuchomwa kwa makanisa:
Mimi sikusahangazwa sana na suala la kuchomwa kwa makanisa hii chuki imepandikizwa siku na daima kuna baadahi ya waislam wanaona wakristo ndo wabaya wao kwahiyo tatizo linapotokea wengi wanakimbilia kufanya kitu fulani sababu ya chuki.
Suala la sheikh ponda:
Kwanza tuwe wakweli Ponda hahusiki vurugu za mbagala.Ponda anaendesha harakati za kuutoa uongozi wa bakwata ambao baadhi ya waislam unaona ni uongozi mbaya sana unachezea hela za waislam wengine.
Lakini suala la kujiuliza kwanini serikali inamshikilia sheikh Issa Simba na uongozi wa bakwata kuna maslai gani pale bakwata.
Nasikia ndo taasisi yenye pesa kuliko zote Tanzania
Je bakwata wamefanya nn mpaka sasa
Wameshajenga chuo hata kimoja
Nasikia shule walizokua wanaendesha zote zimekufa
Wameshajenga hospital ngap mpaka sasa
Ponda anaendesha harakati za kuitoa bakwata tuache propaganda hapa.
Uamsho:
Toka zanzibar ipate mafuta chokochoko za kujitenga zilianza na hizi zinaongozwa na kikundi cha uamsho na kufadhiliwa na viongozi wa serikali na umoja zanzibar tusiume maneno hapa.
Juzi kiongozi wao alitekwa kama wanavyodai maelezo ya dereva wake alijipeleka mwenyewe kwa watekaji hao akaingia kwenye gari.
Hivi uchukulue na usalama wa taifa wakakuulize maswali urudi vile vile na tabasamu angalia zile picha utaniamba.
Either uamsho walificha kiongozi wao wajionyeshe wana nguvu kubwa.Maana serikali ilikataa kuwa naye.
Uamsho ni hatari sana tukiangalie hiki kikundi
Maadili yetu yamekwisha sasa
Tumezoea kuwadanganya watoto kwamba ukichana bibilia au koran utakufa watoto wetu wa siku wanachunguza kweli mtoto watacheza wakianza kuleta utani wa kitoto tu ndo mambo ya mbagala yakatokea.
Watoto wetu hawana maadili
Taifa zima maadili yamekwisha kabisa humu ndani ya jamiiforums mnadhikiana kwa udini
Katika mitandao ya kijamii inayoongoza kwa mijadla ya kidini ni humu.
Yakufanya kuondoa hizi kadhia:
Mijadala ya kidini. Kujadili tatizo
Kuboresha elimu kwa watoto wetu ya maadili
Kutengeneza fursa ya elimu kwa ndugu zetu waislam waipate kwa sawa
Kuipitia upya bakwata
Sote ni ndugu dini zilikuja
Vyama vya siasa viache kutumia dini kutafuta kura;
CUF ilifanya
CCM ilifanya 2010 kueneza udini na propaganda za ajabu
CHADEMA sikusikia makanisi tukiambiwa tuichague I stand to be corrected.
Turudie msingi ya baba wa taifa kuunda taifa hili.
Tuache chokochoko za kidini kwenye mitandao kwenye radio(radio imaan)
Tushirikiane kwenye maendeleo kama Mh mengi anavyojitoa hata kwa waislam
Kumbuka dini zililetwa tu zisitugombanishe sisi ni ndugu
N:B
Taifa letu lilijengwa kwa nguvu nyingi sana litaboboka kwa nguvu ndogo na itakuwa ngumu kujenga taifa imara kama Tanzania
Tulinde Amani yeru,Muungano wetu
Mungu ibariki Tanzania
Fred Kavishe
Sasa mods mnaweza kunibadilisha jina langu la nick name kuwa hilo hakuna haja ya kujificha tena
Ni mfumo wa maisha ambao mwanadamu wamejiwekea kuhisi kupitia mfumo huo.Katika dini kunahusisha imani ya mtu pia.
Historia ya dini:
Islam
Uliletwa na waarabu katika pwani ya africa mashariki na baadhi ya maeneo wakiwa na lengo moja kusambaza mfumo wao wa kuishi pia kupata bidhaa kutoka kwa machief wetu waarabu hawa ndo waliendesha slave trade kuuza mababu kwenda ulaya kufanya kazi zenye ujira mdogo na mateso makubwa.
Ukistro:
Ulianza kuenea africa mashiriki baada ya kuingia kwa wa missionaries ambao walingia ndani zaidi ya nchi nyingi za Africa mashariki.hawa pia walikuja kufanya biashara na kutafuta madini
Kwahiyo tunaona kila dini ililetwa kwa malengo fulani dini ilikua kama sababu tu kukutanisha watu fulani.
Udini Tanzania:
Udini tanzania upo na tusijidanganye haupo kuna dini moja inalalamika kua kuna mfumo unaibeba dini nyingine toka kitambo sana.
Mfumo kristo:
Baadhi ya waislam wanadai kuna mfumo huu tanzania wanalalamika hawajapewa fursa kwenye Elimu,Afya,Uongozi,Utawala.
Lakini suala la kujiuliza je ni kweli tanzania kuna mfumo kristo na je kama upo tunafanyaje kuuondoa ili sehemu nyingine wasilalamike.
Suala la Kuchomwa kwa makanisa:
Mimi sikusahangazwa sana na suala la kuchomwa kwa makanisa hii chuki imepandikizwa siku na daima kuna baadahi ya waislam wanaona wakristo ndo wabaya wao kwahiyo tatizo linapotokea wengi wanakimbilia kufanya kitu fulani sababu ya chuki.
Suala la sheikh ponda:
Kwanza tuwe wakweli Ponda hahusiki vurugu za mbagala.Ponda anaendesha harakati za kuutoa uongozi wa bakwata ambao baadhi ya waislam unaona ni uongozi mbaya sana unachezea hela za waislam wengine.
Lakini suala la kujiuliza kwanini serikali inamshikilia sheikh Issa Simba na uongozi wa bakwata kuna maslai gani pale bakwata.
Nasikia ndo taasisi yenye pesa kuliko zote Tanzania
Je bakwata wamefanya nn mpaka sasa
Wameshajenga chuo hata kimoja
Nasikia shule walizokua wanaendesha zote zimekufa
Wameshajenga hospital ngap mpaka sasa
Ponda anaendesha harakati za kuitoa bakwata tuache propaganda hapa.
Uamsho:
Toka zanzibar ipate mafuta chokochoko za kujitenga zilianza na hizi zinaongozwa na kikundi cha uamsho na kufadhiliwa na viongozi wa serikali na umoja zanzibar tusiume maneno hapa.
Juzi kiongozi wao alitekwa kama wanavyodai maelezo ya dereva wake alijipeleka mwenyewe kwa watekaji hao akaingia kwenye gari.
Hivi uchukulue na usalama wa taifa wakakuulize maswali urudi vile vile na tabasamu angalia zile picha utaniamba.
Either uamsho walificha kiongozi wao wajionyeshe wana nguvu kubwa.Maana serikali ilikataa kuwa naye.
Uamsho ni hatari sana tukiangalie hiki kikundi
Maadili yetu yamekwisha sasa
Tumezoea kuwadanganya watoto kwamba ukichana bibilia au koran utakufa watoto wetu wa siku wanachunguza kweli mtoto watacheza wakianza kuleta utani wa kitoto tu ndo mambo ya mbagala yakatokea.
Watoto wetu hawana maadili
Taifa zima maadili yamekwisha kabisa humu ndani ya jamiiforums mnadhikiana kwa udini
Katika mitandao ya kijamii inayoongoza kwa mijadla ya kidini ni humu.
Yakufanya kuondoa hizi kadhia:
Mijadala ya kidini. Kujadili tatizo
Kuboresha elimu kwa watoto wetu ya maadili
Kutengeneza fursa ya elimu kwa ndugu zetu waislam waipate kwa sawa
Kuipitia upya bakwata
Sote ni ndugu dini zilikuja
Vyama vya siasa viache kutumia dini kutafuta kura;
CUF ilifanya
CCM ilifanya 2010 kueneza udini na propaganda za ajabu
CHADEMA sikusikia makanisi tukiambiwa tuichague I stand to be corrected.
Turudie msingi ya baba wa taifa kuunda taifa hili.
Tuache chokochoko za kidini kwenye mitandao kwenye radio(radio imaan)
Tushirikiane kwenye maendeleo kama Mh mengi anavyojitoa hata kwa waislam
Kumbuka dini zililetwa tu zisitugombanishe sisi ni ndugu
N:B
Taifa letu lilijengwa kwa nguvu nyingi sana litaboboka kwa nguvu ndogo na itakuwa ngumu kujenga taifa imara kama Tanzania
Tulinde Amani yeru,Muungano wetu
Mungu ibariki Tanzania
Fred Kavishe
Sasa mods mnaweza kunibadilisha jina langu la nick name kuwa hilo hakuna haja ya kujificha tena