Hujui kwamba hii habari ni mojawapo wa huo Waraka.MTANZANIA!!kulopoka ovyo huku ndo kunapomshushia hadhi kila kitu anataka azungumze yeye afsa habari hana kazi kabisa pale cdm
- Interesting!, vipi kwenda kwenye mahakama kama Dr. Slaa alivyomshauri Ridhiwani? ha! ha! ha! haya ndio matatizo ya siasa za kulipuana, maendeleo hakuna!
Willie @ NYC, USA.
Unategemea nini kutoka kwenye Mtanzania zaidi ya uzushi na Majungu!!
Weka waraka hapa
Tatizo la CCM si ufisadi tu bali ni mambo mengi, watueleze kwa nini ktk kipindi zaidi ya miaka 40 ya uhuru hatuna umeme, maji, watoto wetu hawana elimu bora? sasa hivi chochote wanachofanya dhudi ya kuichafua chadema wanapoteza muda wao tu. Chamsingi wajiulize hizi kero kama mfumuko wa bei wanazitatua vipi?
Kijana tulia usiwe na papara ya evidence humu ndimo nyumbani mwake
hata ukitaka evidence ya nini utakula kesho watu watakupa.
Inaashiria fika kuwa kuna dalili ya vita baridi kati ya CCM na CDM. Msingi mkuu wa vitabaridi ni propaganda. Kwa hivo sote tunaoshuhudia vita hivi ni lazima tuwe makini kwanza tutafakari msingi wa hoja na tuhuma zinzotewa kisha tunaweza kuamua kuzipuuza au kuzijibu critically
Waraka haukuandikwa na Nape; ila unaonekana umeandikwa kwenda kwa Nape..
Habari ya kubuni wakati mtoa mada ameweka reference toka gazeti la Tanzania Daima? Tusiwe wepesi wa kuwa hasi bila kufanya jitihada kutafuta ukweli wa habari. Mimi nimeitafuta na nimeiweka hapo juu
habari za kubuni kama kawaida
Tanzania Daima lilipowasiliana na Nape kuhusu tuhuma hizo za Dk. Slaa, alisema maneno hayo si mageni masikioni mwa Watanzania, kwani kiongozi huyo amekuwa akiyazusha kila mara.Alisema hajawahi kuandika waraka wala kumtuhumu Dk. Slaa, kwa kuwa ni mtu wa kawaida, hivyo hana muda wa kupoteza kwa ajili ya kiongozi huyo.Nape aliongeza kama Dk. Slaa ameshindwa siasa ni bora arudi kijijini kwake akalime vitunguu kuliko kuendelea na jambo asiloliweza. Kuhusu mapacha watatu, Nape alisema kuwa CCM haijashindwa kuwatimua mafisadi bali kinachosubiriwa ni kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), ambacho ndicho kitatoa hitimisho juu ya suala hilo.
KILIMO KWANZA HAKINA MAANA, KAMA INAONEKANA NI KAZI YA WATU AMBAO HAWANA AKILI KAMA KWELI NEPI NAUYE UMEYASEMA HAYA IMENIKATISHA TAMAA KABISA MIMI MKULIMA WA VITUNGUU
| ||
|
Kwa maelekezo ya NapeWaraka haukuandikwa na Nape; ila unaonekana umeandikwa kwenda kwa Nape..