Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Kakwambia nani kuwa mleta hoja ni kiongozi tena wa cdm? Mbona umepata mchecheto kuna nini hapo? Hivi hujui wamiliki wa Mtanzania ni kati ya waliopiga debe Igunga, mbona hukuwaambia walete mambo ya msingi (kama hili sio la msingi) waachane na ccm?
Sasa kwa taarifa yako habari hii ni muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu hasa kuelekea 2015, na ili uamini kuwa ni kati ya habari muhimu hata ccm wameijadili kwenye vikao vyao vya chama na ndio chanzo cha kutufikia sisi, acha woga siasa siku zote ni kosa la mwenzako faida kwako na agenda kwa wananchi kama ccm inavyoshupalia swala la udini kwa cdm japo halina mashiko
Mikael P Aweda - 0784 583 330
Mjumbe Baraza kuu Taifa - Chadema