Kuna mazingira ushauri kama huo inabidi mtu alipie lakini Nchemba anapewa bure, sasa ni kazi kwake kuufanyia kazi.
Mwiguli ni first class economist ,anajua kila kitu ,mwacheni
"Mkijibu kwa hoja wanatulia, sio Polisi. Nakumbuka Mwigulu aliwajibu pale bungeni kuhusu bajeti yao mbadala. Walipoitoa kijana wetu akasimama na kupiga msumari kweli wakachanganyikiwa sasa hizo ndio kazi zinazotakiwa jamani," alisisitiza Kikwete.
Mwigulu ni kamanda wa kweli, lazima aisambaratishe chadema
Salaams,
Kila kukicha ni wewe na kila uchao unavuma kwa mambo ambayo hayana msingi na wala hayana mwelekeo wa kuiendeleza Iramba Magharibi. Yawezekana umesahau jukumu lako kama mbunge wetu matokeo yake unafanya kazi za CCM na serikali ndani ya Bunge. Kumbuka kuwa wewe haupo bungeni kuiwakilisha serikali, au usalama wa taifa au CCM, upo bungeni kwa niaba ya wana Iramba Magharibi. Mengi unayozungumza bungeni ni yale uliyonayo kichwani mwako na si yale ambayo wana Iramba wamekutuma.
Huna sifa za kuwa mwakilishi wa wana Iramba. Ulipoteuliwa na wana CCM kugombea ubunge wana iramba wengi walidhani wamepata mtu wa kuisogeza Iramba. Niliwaskitikia sana wana Iramba wenzangu kwa kuwa na mtazamo huo. Ni kwa sababu walikuwa hawakujui. Mie niliyepata kukufahamu japo kidogo nilisikitika sana. Nakumbuka ulipokuwa UDSM kipindi kile cha mgomo wa kushinikiza marehem Mkili atolewe magereza, kila uliposimama kutoa hoja watu walikuzomea na kukutaka ukae chini. Si kwa sababu walikuwa wankuchukua, ila kwa sababu hukuwa na uwezo wa kujenga hoja za kushawishi watu. Hilo liko wazi, watanzania walio wengi wanakuzomea kila uzungumzapo bungeni. Sidhani kama hiyo ni sifa nzuri kwa kiongozi mzuri.
Umekuwa ukihusishwa na mambo mengi ya hovyo, wahenga walisema lisemwalo lipo.... Sidhani sana kama unajitambua na unatambua uyafanyayo. Wakati mwingine huwa nafikiri huenda yale maisha yako ya kukaa porini kwa muda mrefu ukichunga ng'ombe yaliathiri ukuaji wako kiakili kiasi kwamba hujitambui, huwezi kujenga hoja zikashawishi watu, ukatumiwa na wenzako kwa kila aina ya jambo lisilojema na wewe ukalibebea bango pasipo tafakuri ya kutosha. Ama kwa hakika umekuwa limbukieni wa kila jambo. Kumbuka cheo ni dhamana, na hukuzaliwa kuwa kiongozi milele. Muda wako utakwisha watakuja wengine nao watapita. Ni vema sasa ukatumia muda huu kufanya mambo ambayo watu watakukumbuka nayo kwa wema.
Ulikuwa mchunga ng'ombe hebu kumbuka kufanya mambo ambayo yatawasaidia wale wachunga ng'ombe uliowaacha wanataabika. Think wider, achana na ulimbukeni wa kisiasa na kulewa vimadaraka ulivyo navyo. Jitambue kuwa wenzako wanakutumia, ukichujuka watakumwaga. Si unajua mwisho wa vuvuzela ni nini.
Shukia
, Tafadhali Dr.mkumbo, 2015 nenda kagombee ktk jimbo la Iramba ili uweze kutatua shida za wananchi.Watu wanafanya kazi zinazotakiwa kufanywa na Nape NAUYE , kazi yetu si imekuwa ni kuwabeza wenzetu wa upinzani waliowachache, viongozi wa srikali hawawajibiki ipasavyo, serikali imevaa miwani ya......... . SOURCE : DEO FILIKUNJOMBE (MP CCM-LUDEWA)Hilo jamaa huwa halioni hata aibu,litapigwa bao na daktar mkumbo mwaka 2015
Huyu mwalimu kama kweli anania njema na kijiamini vema aweke bayana utambulisho wake humu jf ili tumjadili huyu ni mbumbumbu asiyejitambua ni hewa kama mahewa wegine aliyekutuma wote mko milembe day.
Kwa vile mwalimu kataja jina lake kamili basi tusishangae kesho tukisia yu mahututi au marehemu..otherwise ni ushauri mzuri nchemba uchukue na ujichunguze.
Salaams,
Kila kukicha ni wewe na kila uchao unavuma kwa mambo ambayo hayana msingi na wala hayana mwelekeo wa kuiendeleza Iramba Magharibi. Yawezekana umesahau jukumu lako kama mbunge wetu matokeo yake unafanya kazi za CCM na serikali ndani ya Bunge. Kumbuka kuwa wewe haupo bungeni kuiwakilisha serikali, au usalama wa taifa au CCM, upo bungeni kwa niaba ya wana Iramba Magharibi. Mengi unayozungumza bungeni ni yale uliyonayo kichwani mwako na si yale ambayo wana Iramba wamekutuma.
Ulikuwa mchunga ng'ombe hebu kumbuka kufanya mambo ambayo yatawasaidia wale wachunga ng'ombe uliowaacha wanataabika. Think wider, achana na ulimbukeni wa kisiasa na kulewa vimadaraka ulivyo navyo. Jitambue kuwa wenzako wanakutumia, ukichujuka watakumwaga. Si unajua mwisho wa vuvuzela ni nini.
Shukia
Mwigulu kama kweli alikuwa mchunga ng'ombe ukifanyika uchunguzi wa kibaolojia watagundua aliwahi kulawiti ng'ombe hii hamu yake ya wake za watu sidhani kama ng'ombe walipona, if cows could talk then.....................
Sio kila kitu ni CCM vs CDM mkuu.
Vingine ni
Humanity vs Inhumanity
Common Sense vs Stupidity
The Oppressed vs The Oppressor
Ukweli vs Uongo. Etc
Sio kila anaenda against you katika opinions hapa ni MwanaCDM, wengine hata siasa hawaijui ila ukweli wanauona na kama Watanzania inawabidi tu kuongea na kuusemea ukweli.
La muhimu hapa ni kumfikishia mtajwa ujumbe, ni ushauri mzuri atajifunza japo moja kutoka hayo aloandika mwalimu.
Swali la Kujiuliza ni, Je kesho cheo kikiisha ataishije na jamii yake?? Muda ndio huu wa kujisafisha na kujirekebisha. Kuna Kesho, na hatuijui inafananaje.
Mwisho wa siku mkuu Bungeni hata ukiwa huo upande uliochagua na mimi nikiwa huku, dukani bei ya bidhaa ni moja meku, oxygen ni ile ile, masaa ya siku ni yale yale na Nchi tunayoitakia mema ni hii hii yetu sote TANZANIA.
Labda kama mwenzangu umetumwa toka "inji" ingine sawa ntakuelewa, lakini kama wewe ni Mtanzania napata wakati mgumu kukueelewa.
Kama mimi hewa hana shaka wewe utakuwa ushuzi! ugonjwa wa lisu ni kusema ukweli! Ukweli wake umetusaidia kuwajua majaji wasiosoma! Ukweli wake umesaidia kujua mikataba ya kipuuzi kwenye dhahabu mliyoingia! Ukweli wake umesaidia kujua hila mbaya kwenye mchakato wa katiba... ulianza kujamba sulphadioxide sasa unajamba sulphuric acid...Sasa mkuu ni na wewe hewa kweli lisu anahoja gani zaidi ya kukaa anaomba miongozo na utaratibu,lisu mnapswa kumtibu kwanza ule ugonjwa wake vinginevyo mnajikaanga kwa mafuta yenu wenyewe.
Salaams,
Kila kukicha ni wewe na kila uchao unavuma kwa mambo ambayo hayana msingi na wala hayana mwelekeo wa kuiendeleza Iramba Magharibi. Yawezekana umesahau jukumu lako kama mbunge wetu matokeo yake unafanya kazi za CCM na serikali ndani ya Bunge. Kumbuka kuwa wewe haupo bungeni kuiwakilisha serikali, au usalama wa taifa au CCM, upo bungeni kwa niaba ya wana Iramba Magharibi. Mengi unayozungumza bungeni ni yale uliyonayo kichwani mwako na si yale ambayo wana Iramba wamekutuma.
Huna sifa za kuwa mwakilishi wa wana Iramba. Ulipoteuliwa na wana CCM kugombea ubunge wana iramba wengi walidhani wamepata mtu wa kuisogeza Iramba. Niliwaskitikia sana wana Iramba wenzangu kwa kuwa na mtazamo huo. Ni kwa sababu walikuwa hawakujui. Mie niliyepata kukufahamu japo kidogo nilisikitika sana. Nakumbuka ulipokuwa UDSM kipindi kile cha mgomo wa kushinikiza marehem Mkili atolewe magereza, kila uliposimama kutoa hoja watu walikuzomea na kukutaka ukae chini. Si kwa sababu walikuwa wankuchukua, ila kwa sababu hukuwa na uwezo wa kujenga hoja za kushawishi watu. Hilo liko wazi, watanzania walio wengi wanakuzomea kila uzungumzapo bungeni. Sidhani kama hiyo ni sifa nzuri kwa kiongozi mzuri.
Umekuwa ukihusishwa na mambo mengi ya hovyo, wahenga walisema lisemwalo lipo.... Sidhani sana kama unajitambua na unatambua uyafanyayo. Wakati mwingine huwa nafikiri huenda yale maisha yako ya kukaa porini kwa muda mrefu ukichunga ng'ombe yaliathiri ukuaji wako kiakili kiasi kwamba hujitambui, huwezi kujenga hoja zikashawishi watu, ukatumiwa na wenzako kwa kila aina ya jambo lisilojema na wewe ukalibebea bango pasipo tafakuri ya kutosha. Ama kwa hakika umekuwa limbukieni wa kila jambo. Kumbuka cheo ni dhamana, na hukuzaliwa kuwa kiongozi milele. Muda wako utakwisha watakuja wengine nao watapita. Ni vema sasa ukatumia muda huu kufanya mambo ambayo watu watakukumbuka nayo kwa wema.
Ulikuwa mchunga ng'ombe hebu kumbuka kufanya mambo ambayo yatawasaidia wale wachunga ng'ombe uliowaacha wanataabika. Think wider, achana na ulimbukeni wa kisiasa na kulewa vimadaraka ulivyo navyo. Jitambue kuwa wenzako wanakutumia, ukichujuka watakumwaga. Si unajua mwisho wa vuvuzela ni nini.
Shukia