Waraka maalum kwa wana Mtwara na kusini kwa ujumla

Tukubali tukatae ukweli ni kwamba kuna watu wana maslahi yao binafsi hapa, na hao watu wahatufai kwa sababu wabinafsi hawana uzalendo wala hawaweki maslahi ya taifa mbele, tusipokuwa makini tutaumia

Mbona mnasema tu kuna watu wanamaslahi binafsi bila kuwataja hao watu na hayo maslahi yao?
Sisi wana Ntwara tunaamini wenye maslahi binafsi ni mafisadi wa ccm wanaouza rasilimali za Nchi kwa kisingizio cha uwekezaji.
Wana Ntwara hatutaki kuwa kama watu wa Tarime mliowaachia mashine pale Buhemba baada ya dhahabu kuisha.
Tutapambana mpaka mwisho lakini gesi haitoki.
 
WANA MTWARA TUTAFAKARI MBONA SERIKALI IMETULETEA MWEKEZAJI ANAJENGA KIWANDA CHA SARUJI NA VIJANA TUTAPATA AJIRA! MBONA YETU INAJENGWA NA RELI KWENDA KIWANDA CHA SARUJI VYOTE VINALETA AJIRA KWETU! SERIKALI INASEMA GESI KWETU KWANZA NA ITAKAYO BAKI NDIYO ITASAFIRISHWA ILI KUPATA SOKO NA MAPATO ZAIDI. HAYA YOTE NI MAENDELEO KWETU TUSIKUBALI KUTUMIWA NA WATUILI WAPATE MASLAHI YAO. KWA PAMOJA TUSHIRIKIANE KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI ILI NASI TUPATE AJIRA MAISHA YETU YAWE JUU. WATU WASIOTUTAKIA MEMA WANATUSHAWISHI ILI TUGOMEE MAENDELEO ILI WAENDELEE KUKUTUMIA KWA FAIDA ZAO, MTWARA TUAMKE TUKATAE MAANDAMANO, TUWEKEZE NGUVU ZETU KUTENGENEZA MAENDELEO YA MTWARA, TUSIWAKUBALI WANAOTAKA KUTUTUMIA VIBAYA, TUAMKE SASA!
:kev:

Umepitwa na mda, serikali ipi ya kuiamini......hii ambayo inaahidi kila siku bila kutekeleza? AMKA WEWE
 
:yell:wana mtwara tutafakari mbona serikali imetuletea mwekezaji anajenga kiwanda cha saruji na vijana tutapata ajira! Mbona yetu inajengwa na reli kwenda kiwanda cha saruji vyote vinaleta ajira kwetu! Serikali inasema gesi gesi kwetu kwanza na itakayo baki ndiyo itasafirishwa ili kupata soko na mapato zaidi. Haya yote ni maendeleo kwetu tusikubali kutumiwa na watuili wapate maslahi yao. Kwa pamoja tushirikiane kuunga mkono juhudi za serikali ili nasi tupate ajira maisha yetu yawe juu. Watu wasiotutakia mema wanatushawishi ili tugomee maendeleo ili waendelee kukutumia kwa faida zao, mtwara tuamke tukatae maandamano, tuwekeze nguvu zetu kutengeneza maendeleo ya mtwara, tusiwakubali wanaotaka kututumia vibaya, tuamke sasa! :nod:

fckng puppet
 
uko sahihi ila hawa jamaa wa mtwar wakishalishwa sumu ambayo inawauwa taratibu na watu ambao naweza sema hata elimu ya maisha wala ya darasan hawana. mf. yuko wap aliewasababisha wana tandahimba mpaka maduka yao yakaungua na kupata hasara mpak wengine wamekuwa mafukar moja kwa moja. tunywe maziwa kwani waliotunywesha sumu wamesha sepa wanatuangalia jinsi tunavyo haha.
 
:yell:WANA MTWARA TUTAFAKARI MBONA SERIKALI IMETULETEA MWEKEZAJI ANAJENGA KIWANDA CHA SARUJI NA VIJANA TUTAPATA AJIRA! MBONA YETU INAJENGWA NA RELI KWENDA KIWANDA CHA SARUJI VYOTE VINALETA AJIRA KWETU! SERIKALI INASEMA GESI GESI KWETU KWANZA NA ITAKAYO BAKI NDIYO ITASAFIRISHWA ILI KUPATA SOKO NA MAPATO ZAIDI. HAYA YOTE NI MAENDELEO KWETU TUSIKUBALI KUTUMIWA NA WATUILI WAPATE MASLAHI YAO. KWA PAMOJA TUSHIRIKIANE KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI ILI NASI TUPATE AJIRA MAISHA YETU YAWE JUU. WATU WASIOTUTAKIA MEMA WANATUSHAWISHI ILI TUGOMEE MAENDELEO ILI WAENDELEE KUKUTUMIA KWA FAIDA ZAO, MTWARA TUAMKE TUKATAE MAANDAMANO, TUWEKEZE NGUVU ZETU KUTENGENEZA MAENDELEO YA MTWARA, TUSIWAKUBALI WANAOTAKA KUTUTUMIA VIBAYA, TUAMKE SASA! :nod:
Serikali inatekeleza katiba ya nchi haipo kwa ajili ya kumfurahisha mtu, makundi ya watu, kabila, rangi, wala itikadi au imani
 
Serikali inatekeleza katiba ya nchi haipo kwa ajili ya kumfurahisha mtu, makundi ya watu, kabila, rangi, wala itikadi au imani

Kwa hiyo katiba ya nchi iko kwa ajili ya kumkasirisha mtu, makundi ya watu, kabila, rangi, wala itikadi au imani
 
Wana Mtwara ni watu wenye akili timamu hivyo kusema wanatumiwa ni kuwatukana matusi makubwa; hii serikali ingekuwa sio wanafiki ingewahamisha wakwere toka Chalinze na kuwapeleka Mtwara ili wanufaike na hiyo gesi na haya matatizo yasingekuwepo!!!
 
Nasubiri gesi na mafuta vipatikane Musoma tuone kama nayo itapelekwa DSM. Mtwara kuna bandari kunafikika kwa barabara, kwanini gesi iende dsm? Kama viwanda vya kutumia gesi vinaweza kujengwa dsm why not Mtwara?
Kila kitu dsm, mayai kwenye kapu moja si busara. Tawanya resources kulinda amani ya nchi. Mnataka dar ikitekwa tu na nchi kwishney? Hata hivyo dar imejaa mno
 
Tunahitaji definition mpya ya ajira maana wanasiasa wanatuharibu kwa kusema kikijengwa kiwanda na wawekezaji mtapata ajira, huwa najiuliza hivi ajira ni lazima kufanya kazi kwenye kiwanda cha mwekezaji ulipwe kwa mwezi? Kwanini tusibadili mtazamo kwa kwenda mbali zaidi kwa kuangalia kama mwekezaji anakuja raw materials ya kuendesha hicho kiwanda chake anatoa wapi ili kama kuna fursa ya namna ya kuingia nae mkataba wa kupeleka mali ghafi kiwandani na vitu vingine vingi na sio kuwaza kuajiriwa tu wakati kuna mazingira hawa jamaa wananufaika zaidi. Wanasiasa wao ajira wanahesabu na ya wananchi walioajiriwa kwenye kiwanda pekee wanasahau hicho kiwanda mbali na kutoa hizo ajira kuna nini cha ziada wananchi wanaweza kunufaka nacho. A case ya kiwanda cha Mvinyo kwa mfano mwingine mbali ya watu kuajiriwa je zabibu zinazotengeneza hizo mvinyo zinalimwa nchini na wakulima wetu, je hiyo mbolea wanayotumia inazalishwa nchini
 
Nasubiri gesi na mafuta vipatikane Musoma tuone kama nayo itapelekwa DSM. Mtwara kuna bandari kunafikika kwa barabara, kwanini gesi iende dsm? Kama viwanda vya kutumia gesi vinaweza kujengwa dsm why not Mtwara?
Kila kitu dsm, mayai kwenye kapu moja si busara. Tawanya resources kulinda amani ya nchi. Mnataka dar ikitekwa tu na nchi kwishney? Hata hivyo dar imejaa mno

Huwa hatuangalii hata natural disaster maana kuna siku litatokea tetemeko kubwa Dar nadhani tutakuwa masikini maana rasilimali nyingi za taifa zipo kule, wakati mwingine kuna haja ya kuangalia namna ya kujenga viwanda sehemu zingine as well, mbona zamani iliwezekana na sio viwanda vya bia na soda vinapatikana kilimetre chache kutoka mikoa mbalimbali, kwanini viwanda vingine visisogweze pia mikoani
 
Tukubali tukatae ukweli ni kwamba kuna watu wana maslahi yao binafsi hapa, na hao watu wahatufai kwa sababu wabinafsi hawana uzalendo wala hawaweki maslahi ya taifa mbele, tusipokuwa makini tutaumia
Kwa taarifa yako wenye maslahi binafsi ndio wanaoutetea mradi huo kwa nguvu zote. Watu walishavuta 10% zao siku nyingi,unadhani hayo mabilioni ya Uswiss yametokana na nini?
Siungi mkono vurugu ila kwa nini jambo hili kama ni la kheri liwe na usirisiri mwingi?


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
:yell:WANA MTWARA TUTAFAKARI MBONA SERIKALI IMETULETEA MWEKEZAJI ANAJENGA KIWANDA CHA SARUJI NA VIJANA TUTAPATA AJIRA! MBONA YETU INAJENGWA NA RELI KWENDA KIWANDA CHA SARUJI VYOTE VINALETA AJIRA KWETU! SERIKALI INASEMA GESI GESI KWETU KWANZA NA ITAKAYO BAKI NDIYO ITASAFIRISHWA ILI KUPATA SOKO NA MAPATO ZAIDI. HAYA YOTE NI MAENDELEO KWETU TUSIKUBALI KUTUMIWA NA WATUILI WAPATE MASLAHI YAO. KWA PAMOJA TUSHIRIKIANE KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI ILI NASI TUPATE AJIRA MAISHA YETU YAWE JUU. WATU WASIOTUTAKIA MEMA WANATUSHAWISHI ILI TUGOMEE MAENDELEO ILI WAENDELEE KUKUTUMIA KWA FAIDA ZAO, MTWARA TUAMKE TUKATAE MAANDAMANO, TUWEKEZE NGUVU ZETU KUTENGENEZA MAENDELEO YA MTWARA, TUSIWAKUBALI WANAOTAKA KUTUTUMIA VIBAYA, TUAMKE SASA! :nod:

lumumba wamewapandishia dau mpaka ngapi? Pia ungejaribu kuwaelimisha ni jinsi gani wangeweza kufuata ajira bagamo kiraisi kuliko kwao mtwara na si bukurupuka tu
 
AH AH AH, WEWE KWELI NI JUHA PIA WA MWAKA 47, HUJIULIZI KWANINI SASA MACCM NDO WAMEWAKUMBUKa?

ATA MABABU ZETU WALILETEWA GOLOLI ZENYE KUMELEMETA WAKASHANGAA ALMASI ZIKIONDOKA, EH WEWE NI POYOYO KABISA MZEE WA NDIOOO..

Kwahiyo na huyu mkoloni mweusi kaja na mbinu kama ya mkoloni mweupe wakati watu washaelimika
 
mkuu upo sahihi sana kuna watu wanaingiza chokochoko sana, wanatumia fursa hiyo kutekeleza mambo yao binafsi . Usijali watakuponda lakini nchi hii haiwezi kujengwa na watu wote lazima wachache watajitokeza kwa kujitolea maarifa yao lakini pia wajue kuwa kuna watu watawabeza na kuzorotesha juhudi zao kwa maslahi yao binafsi. Don't give up man

Pita lumumba tutakuongezea dau
 
Tukubali tukatae ukweli ni kwamba kuna watu wana maslahi yao binafsi hapa, na hao watu wahatufai kwa sababu wabinafsi hawana uzalendo wala hawaweki maslahi ya taifa mbele, tusipokuwa makini tutaumia

Maslahi ya taifa yanapatikana tu kwa gas kwenda b/moyo? Gas ikibaki mtwara taifa halitakuwa na maslahi? Ni vyema mngewaanika hao watu wengine wenye maslahi tofauti na wanamtwara wenyewe kutaka kunufaika
 
Back
Top Bottom