Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,666
Umenichekesha.....Kwani lazima umpe lift? Unamuone Huruma mtu hata undugu nae tuna umekuwa baba huruma? Kwanini unaacha mtu akupelekeshe?its your life remember!!
we kama anakukera si umwambie kuliko unavyoeleza apa. Nadhan ujumbe ujamfikia na hautamfikia
sasa kamanda si unatoa lift kwa hiari donge la nini.?
Ushauri
Mimi haya yalishanikuta nlichofanya ni kumwambia wife we!!Wacha amuwakie ila alibadilika. Ingine ni office mate wangu walikuwa na tabia za kufowadiana meseji za kipuuzi, hadi usiku nliwambia hawakusikia nkamtonya wife akawapandia hewani wacha wawe wapole.. Na wakakoma, ingawa notion waliyonayo ni kuwa mimi sipumui kwa Wife but whatever ilisaidia
Uzushi huu
Mwanaume gani unashindwa kumface mwanamke mpaka uje huku JF
Kwani lazma kumpa lift? Maana una donge zito moyoni utafikiri usipompa lift utakufa
Lol stori nyingine bana
Akimpa na hiyo kitu kwenye bold si ndo atakuwa ameua bendi!?
Hilo ni Moja,Hata kama anatoa lift kwa hiari haiwezekani awe anakata makucha yake ndani ya gari! DEMBA akizikuta hizo kucha kwenye gari anaweza hisi wrongly kama mm nam cheat!
Huyu dada sio mstaarab kabisa!
we kama anakukera si umwambie kuliko unavyoeleza apa. Nadhan ujumbe ujamfikia na hautamfikia
Nahisi jirani yangu kasoma huu waraka maana leo nimesubiri lift ya kwenda church mpaka nimekoma..Hakuna cha simu wala honi kwa gate...
Haidhuru sana..ngoja niwahi bajaji fasta..