Mbunge wa CCM
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 475
- 22
Kwenye jimbo langu, vyama vingine pia vina wagombea, lakini baada ya kikao cha NEC nilisafiri kidogo nje ya nchi nimerudi sasa na kukuta wansambaza habari kuwa nahojiwa na TAKUKURU!! uongo kabisa
Ni kweli niliingiza nchini vifaa vya kampeni kama pikipiki na magari kadhaa chakavu na hili suala nilisha-clear na TAKUKURU wakati wa kura za maoni.
Juzijuzi nilitoa vifaa vya michezo kwa vijana jimboni baada ya kuombwa kwa maandishi na nikasaida, nayo nimeisha-clear na TAKUKURU, kuna mambo mengi tu nimefanya, ila linalonikera ni hili suala la vifaa vilivyo njiani, vingine ni vya chama, navyo wanasemasema kuhusu TAKUKURU, TAKUKURU wenyewe walishachoka na uzushi.
Nawaambia, kuwa Jumatano vinatoka bandarini na wiki ijayo nasambaza jimbo zima na wajiandae kwa kampeni ya nguvu
Anayetaka kujua kuwa upinzani si kufanya ujinga, ajaribu kuhusisha haya mamabo na rushwa, nitamfunza adabu na atakapopata akili wenzie tulishakuwa wabunge...
Ni kweli niliingiza nchini vifaa vya kampeni kama pikipiki na magari kadhaa chakavu na hili suala nilisha-clear na TAKUKURU wakati wa kura za maoni.
Juzijuzi nilitoa vifaa vya michezo kwa vijana jimboni baada ya kuombwa kwa maandishi na nikasaida, nayo nimeisha-clear na TAKUKURU, kuna mambo mengi tu nimefanya, ila linalonikera ni hili suala la vifaa vilivyo njiani, vingine ni vya chama, navyo wanasemasema kuhusu TAKUKURU, TAKUKURU wenyewe walishachoka na uzushi.
Nawaambia, kuwa Jumatano vinatoka bandarini na wiki ijayo nasambaza jimbo zima na wajiandae kwa kampeni ya nguvu
Anayetaka kujua kuwa upinzani si kufanya ujinga, ajaribu kuhusisha haya mamabo na rushwa, nitamfunza adabu na atakapopata akili wenzie tulishakuwa wabunge...