Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Wana laana isiyoisha au tuseme hawajui wanachotaka Mkapa walimwita dikteta na kumtukana Kila aina ya matusi, amemaliza salama amelala!
Kikwete alipoingia alikula matusi Kila mahali yaani huyu ndio rais mwenye roho ngumu kwa sababu huyu walimuonea kwa kuwa alikuwa anakaa kimya!
Matusi waliokuwa wanamtukana mengine huwezi kuyaandika humu baba yule kamaliza mhula wake yupo Msoga ametulia.
Ameingia Hayati Magufuli tinga tinga lile walifyata mkia kama hawapo! Yaani hata kukohoa walikoholea vyumbani, Sabaya na Makonda peke yao walikuwa wanaamua leo wakalale wapi na wanatii amri.
Wakalalamika sana, baadae kamanda yule amelala, kaja mama mpole, mvumilivu na msikivu kuliko wote huenda! Anawapa Kila wanachotaka.
Walikimbia hata nchi wamerudi kwa ajili yake baada ya kuona usalama wa uhakika upo ,Leo Tena hao wanamtukana na kukebehi.
Hawa sasa wametuchosha wakiingia balabalani watandikwe sana ,mpaka wasahau kwao na wakuwatandika sana ni wale viongozi
Kikwete alipoingia alikula matusi Kila mahali yaani huyu ndio rais mwenye roho ngumu kwa sababu huyu walimuonea kwa kuwa alikuwa anakaa kimya!
Matusi waliokuwa wanamtukana mengine huwezi kuyaandika humu baba yule kamaliza mhula wake yupo Msoga ametulia.
Ameingia Hayati Magufuli tinga tinga lile walifyata mkia kama hawapo! Yaani hata kukohoa walikoholea vyumbani, Sabaya na Makonda peke yao walikuwa wanaamua leo wakalale wapi na wanatii amri.
Wakalalamika sana, baadae kamanda yule amelala, kaja mama mpole, mvumilivu na msikivu kuliko wote huenda! Anawapa Kila wanachotaka.
Walikimbia hata nchi wamerudi kwa ajili yake baada ya kuona usalama wa uhakika upo ,Leo Tena hao wanamtukana na kukebehi.
Hawa sasa wametuchosha wakiingia balabalani watandikwe sana ,mpaka wasahau kwao na wakuwatandika sana ni wale viongozi