nsharighe
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 1,439
- 2,211
Mkuu lizaboni tumkaribishe kwetu huyu, apanue fikraNi sheeedaaaaa! Wengi waliochagua vilaza hivi sasa wanalia na kusaha meno. Wengi wamepoteza mwelekeo afadhali huyu Kada wa CHADEMA kaamua kupunguza stress humu