mbere JF-Expert Member Mar 5, 2015 6,969 6,460 Jan 15, 2018 #1 Wakuu Haya mazao kwa dar hapa yanalimwa wapi?
sab JF-Expert Member Jan 25, 2013 5,718 4,252 Jan 15, 2018 #2 Dar hakuna shamba mkuu, ni vibustani tu, mimi binafsi ninaotesha bamia, ila ni kwenye kibustani tu na siwezi ita shamba,
Dar hakuna shamba mkuu, ni vibustani tu, mimi binafsi ninaotesha bamia, ila ni kwenye kibustani tu na siwezi ita shamba,
I imani emanuel yonafika Member Jan 11, 2018 62 90 Jan 15, 2018 #3 Wew tembelea mbutu mwongozo ujionee mabamia utarud mwenyewe mjin ukiwaza sanaa
mlimilwa JF-Expert Member Jul 11, 2015 3,078 3,142 Jan 15, 2018 #4 hahahahahahahahaha........ vilimutuz!
mbere JF-Expert Member Mar 5, 2015 6,969 6,460 Jan 15, 2018 Thread starter #5 mlimilwa said: hahahahahahahahaha........ vilimutuz! Click to expand... Ndio mkuu vilemutuz
mbere JF-Expert Member Mar 5, 2015 6,969 6,460 Jan 15, 2018 Thread starter #7 kayeke said: Dar nzima shamba la bamia. Click to expand... Wapi na wapi mkuu? Dar kubwa sana ujue na sivioni kirais
kayeke said: Dar nzima shamba la bamia. Click to expand... Wapi na wapi mkuu? Dar kubwa sana ujue na sivioni kirais
kilambimkwidu JF-Expert Member Jul 21, 2017 6,052 7,057 Jan 15, 2018 #9 "Mutuz" zinalimwa kwa wingi Mbutu kwa Yericko
mbere JF-Expert Member Mar 5, 2015 6,969 6,460 Jan 15, 2018 Thread starter #10 kilambimkwidu said: "Mutuz" zinalimwa kwa wingi Mbutu kwa Yericko Click to expand...
Ednatha JF-Expert Member Oct 12, 2012 485 659 Jan 15, 2018 #11 Jamani hebu tumwache lemtuz apumzike/apumue hakupenda kuwa na kibamia na kumbukeni kuwa aliyekupa wewe ndiye aliyemnyima yeye
Jamani hebu tumwache lemtuz apumzike/apumue hakupenda kuwa na kibamia na kumbukeni kuwa aliyekupa wewe ndiye aliyemnyima yeye
Kipapatiro JF-Expert Member May 18, 2017 1,129 1,497 Jan 15, 2018 #13 Hahahah njoo Moro kuna Mabamia dar 90% ya wanaume wana vilemutuz