Wapi utaenda kufurahia sikukuu?

nahisi hasara zake ni nyingi sana kuliko faida zake

Maana mtu akinitembelea naona kama ananinyima amani

Watu wanapendelea kutembelewa na wageni mimi sitaki

Naweza nikamtongoza msichana leo baada ya siku mbili nikajikuta namchukia tu baada ya hapo nafuta namba na mazoea nae nakuwa sitaki kabisa

NI MATESO
Ndivyo ilivyo ni Nzuri kiasi chake maana hukuweka free ni maisha yaliyopo sana marekani (loneless life) japo huleta mkazo (depression)

Ili ukwepe kupatwa na mkazo (depression) inabidi uwe na ofisi au kama hata ukaapo ghetto kama una online business hauwezi patwa na depression maana utakuwa na kitu kitakacho kuweka busy kidogo uwapo ghettoni kwa sababu mkazo ni mbaya Sana kuliko sadness wewe sasa hivi Upo kwenye hatua ya huzuni sadness jitahidi kufanya kama niliyo kueleza hapo juu ili usipatwe na depression mkazo/msongo wa mawazo.

Pia Ni maisha ambayo ni ngumu adui zako kukujua kiundani zaidi.
 
nahisi hasara zake ni nyingi sana kuliko faida zake

Maana mtu akinitembelea naona kama ananinyima amani

Watu wanapendelea kutembelewa na wageni mimi sitaki

Naweza nikamtongoza msichana leo baada ya siku mbili nikajikuta namchukia tu baada ya hapo nafuta namba na mazoea nae nakuwa sitaki kabisa

NI MATESO
Pia hii cartoon inaelezea hali uliyo nayo, maana huyu pichani alikuwa anachukia sikukuu ya christmas bira sababu tu.
images%20(55).jpg
 
nahisi hasara zake ni nyingi sana kuliko faida zake

Maana mtu akinitembelea naona kama ananinyima amani

Watu wanapendelea kutembelewa na wageni mimi sitaki

Naweza nikamtongoza msichana leo baada ya siku mbili nikajikuta namchukia tu baada ya hapo nafuta namba na mazoea nae nakuwa sitaki kabisa

NI MATESO
Pole sana
 
Ndivyo ilivyo ni Nzuri kiasi chake maana hukuweka free ni maisha yaliyopo sana marekani (loneless life) japo huleta mkazo (depression)

Ili ukwepe kupatwa na mkazo (depression) inabidi uwe na ofisi au kama hata ukaapo ghetto kama una online business hauwezi patwa na depression maana utakuwa na kitu kitakacho kuweka busy kidogo uwapo ghettoni kwa sababu mkazo ni mbaya Sana kuliko sadness wewe sasa hivi Upo kwenye hatua ya huzuni sadness jitahidi kufanya kama niliyo kueleza hapo juu ili usipatwe na depression mkazo/msongo wa mawazo.

Pia Ni maisha ambayo ni ngumu adui zako kukujua kiundani zaidi.
ahsante nitafuata ushauri wako mkuu
 
Back
Top Bottom