August_Shao
Senior Member
- Nov 23, 2007
- 164
- 47
Jamani naombeni ushauri wenu....nataka nikapange kati ya TABATA au Maeneo ya kuanzia Banana ukonga hadi pugu......sasa sina uzoefu wa maeneo haya naombeni ushauri wenu....
Naombeni samahani kwa kuiweka kama "breaking news "
Naombeni samahani kwa kuiweka kama "breaking news "