Penelope
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 713
- 641
Jameni,siku hizi nimekua nachukua video za you tube najipikilisha keki kwa ajili ya watoto na ili dada wangu wa nyumbani nae ajifunze kupika keki.(inaeza kuja kimsaidia mbeleni) ila wote wanafunzi mimi na yeye kupitia video hizo.
Mimi sio mzoefu sana nimepika mara moja moja na siku za mwanzo kwa kweli ilikua inatoka vizuri kiasi ila inakua na vikasoro kidogo tu..mfano mafuta kama yanakua yanazidi (sijajua hapo ni blueband au vip), inachambuka kiasi sio saaana,,na sijui shida nini lakini inakua ndani sio nyeupe,,inakua kama na brown kwa mbali..
Sasa siku mbili hizi napika keki naona haiivi katikati,,nishajitahidi kurudia tena kama mara mbili sijajua shida nini au nakosea wapi..
Wenye ideas tofauti tofauti ebu mniambie nakosea wapi, nishawaza ni oven au uzito wa keki au nini.
Mimi sio mzoefu sana nimepika mara moja moja na siku za mwanzo kwa kweli ilikua inatoka vizuri kiasi ila inakua na vikasoro kidogo tu..mfano mafuta kama yanakua yanazidi (sijajua hapo ni blueband au vip), inachambuka kiasi sio saaana,,na sijui shida nini lakini inakua ndani sio nyeupe,,inakua kama na brown kwa mbali..
Sasa siku mbili hizi napika keki naona haiivi katikati,,nishajitahidi kurudia tena kama mara mbili sijajua shida nini au nakosea wapi..
Wenye ideas tofauti tofauti ebu mniambie nakosea wapi, nishawaza ni oven au uzito wa keki au nini.