Mkuu OSOKONI hebu muone huyu jamaa sirleondavid kwa PM atakupa msaada
Naomba anayejua mahali wana unlock hizo Iphone na bei zake!!
mkuu unafanya Temporary Unlock au Factory Unlock? ntaweza kuUpgrade IOS baadae bila simu kujilock tena?last resort: nicheki kwa 0763969066. Ntakutolea lock kuanzia iphone 4 kushuka chini kwa 30,000/= tu
Nop sio temporary bt ukiupgrade itabd unlock tena sababu utakuwa umefuta kila kitu kwa phonemkuu unafanya Temporary Unlock au Factory Unlock? ntaweza kuUpgrade IOS baadae bila simu kujilock tena?
kama simu itapoteza network ninapo upgrade IOS hapo si ntakuwa sijafanya factory unlock. kwahiyo unaUnlock temporarily tu sio permanently?Nop sio temporary bt ukiupgrade itabd unlock tena sababu utakuwa umefuta kila kitu kwa phone
ok simply ni kwamba wanaoweza kufanya factory unlock ni apple wenyewe tu yoyote yule mwmgn atakuwa ni vendor tu. Aplle wakisha whitelist simu yako kwenye data base yao hata ufanye upgrade gani haitachange kitu,ila hapo itakucost sana tu,if i'm not mistaken its nothing less than a hundred thou...........anyway mimi huko sipo,natoa lock kwa iOS iliyopo kwny simu yako tu.kama simu itapoteza network ninapo upgrade IOS hapo si ntakuwa sijafanya factory unlock. kwahiyo unaUnlock temporarily tu sio permanently?
Tembelea Unlock iPhone Permanently Via Official IMEI Factory Solution | iUnlox hawa ni kiboko hakuna cha ukiupgrade itajilock lkn bei yao mkasi kidogoNop sio temporary bt ukiupgrade itabd unlock tena sababu utakuwa umefuta kila kitu kwa phone