Wapi bora kuwekeza: Fixed rate, BOT Bond, UTT?

Laki 6+ kwa mwezi kwa kuwekeza mil. 100 ni fedha kidogo hasa ukitilia maanani sh ya Bongo inavyoanguka na vitu kupanda bei kila kukicha. Hapo mwaka mmoja umepata kwenye mil 8 hivi kwa makadirio. Biashara kichaa hii ila ni njia nzuri ya kuhifadhi fedha zako wakati unatafuta cha kufanya. Angalau baada ya mwaka uwe umeshapata cha kufanya.
Watu wanawaza interest rate na kutupilia mbali inflation rate, pia ajaribu to discount hiyo 100m atakayorudishiwa for next five year ajione alivyolamba hasara.

Watu wa hati fungani hawatafungua mdomo kwenye inflation rate, discounting ya hiyo principal amount and opportunity cost .
 
Watu wanawaza interest rate na kutupilia mbali inflation rate, pia ajaribu to discount hiyo 100m atakayorudishiwa for next five year ajione alivyolamba hasara.

Watu wa hati fungani hawatafungua mdomo kwenye inflation rate, discounting ya hiyo principal amount and opportunity cost .
Mkuu tupe somo hata kidogo juu ya deflation rate umeniacha
 
Watu wanawaza interest rate na kutupilia mbali inflation rate, pia ajaribu to discount hiyo 100m atakayorudishiwa for next five year ajione alivyolamba hasara.

Watu wa hati fungani hawatafungua mdomo kwenye inflation rate, discounting ya hiyo principal amount and opportunity cost .

Hii mada ya inflation huwa ndo kimbilio la watu wengi ku discourage watu kufanya investment kwenye bonds, mutual funds, fixed accs and the likes.

Watu wamekaa miaka 7 hawajapandishiwa mishahara wamepambana na inflation na maisha yamesonga kwa mshahara same wa miaka 7.

Inflation is part of the economy haikwepeki, nit everybody can do business kwamba aweke hiyo mil 100 kwenye mzunguko ikipotea nyie ndo wakwanza kuja kumuita mjinga hapa!

Who makes 10m a year sitting home kwa maisha ya kawaida ya mtanzania? Na hapo bado ana labda mshahara wake au mapato mengine yanaingia! 10m is just extra!

Huwa tuna jump tu kwenye conclusion ya inflation but ni term wengi hatuelewi vizuri na wengi pia hatuelewi how the money system really works.

Mtoa mada tafuta sehemu yenye security kubwa ya pesa yako weka hela ule pension hayo mambo ya inflation yataji solve yenyewe achana na siasa za humu.

Naamini kwa hiyo 100m unaweza kaa na managers wa hizi banks uka negotiate interest rate ikapanda kidogo.

Kila la kheri.
 
Binance ni matapeli wa kisasa hawatofautiani kabisa na online businesses kama QNET.

Nilishawahi kuweka zaidi ya M 3 zote zilipotea maana ghafla walifunga mtandao baada ya kila nilipojaribu kuingia nilijibiwa "ACCESS DENIED" na hakuna popote pa kwenda kushtaki sababu mihamala yote huratibiwa na robot machines.
Ni kama VORTEX ilitamba kipindi fulani ikafa kifo cha mende. Weka mbali na watoto
 
Masharti yao ya kuweka miaka mingi yalinishinda mkuu
Huku unaweza kwenda nao hata miezi 6
Na pia wanakulipa kwa mwezi badala ya kusubiri kwa mwaka au miezi 6

Halafu nipo mkoani huku hata bank niliotumia ni hizi local bank zetu akina crdb rate zao mbovu
Lakini angalau hela ipo safe for now
Crdb ndiye agent wa UTT kw mikoa isiyo na ofisi za UTT, unaweza waulizia zaidi
 
Sikushauri utumie hizi local bank kama nikiotumia mimi mkuu rate zao ndogo sana
Kama upo Dar tumia bank za kimataifa kama Barclays and the likes wana rate nzuri sana
Barcarised wanarate kiasi gani?
 
Sasa wewe unabisha kitu ukijui usikariri maisha nenda kaulize ofisini kwao pitia hata mtandaoni
Mkuu 11% per month?

Yaani nikiweka 10m ntakua napata 1.1m kila mwezi?

Hiyo interest rate ni kubwa sana mkuu labda kwa mwaka
 
Watu wanawaza interest rate na kutupilia mbali inflation rate, pia ajaribu to discount hiyo 100m atakayorudishiwa for next five year ajione alivyolamba hasara.

Watu wa hati fungani hawatafungua mdomo kwenye inflation rate, discounting ya hiyo principal amount and opportunity cost .
Nimepata 100m nje kabisa ya kazi zangu zinazo nipa mkate wangu na kuendesha maisha yangu
Nataka niitunze hii pesa at 0 risk wakati huo nikipata interest yangu bila kuumiza kichwa hiyo “Hasara” ya kufikirika ya inflation ina niathiri nini mimi wakati hela yangu ipo salama

Nimewahi kuunguza hela nyingi sana kwa kujitia bingwa wa kuzungusha hela kwenye biashara
Kwa ujinga wangu kuliko kuiweka tu hela acc ya kawaida bora ikae fixed deposit acc nipate 600k per month hadi hapo nitakapo kuwa tayari kuitumia
 
Back
Top Bottom